jojipoji koromije
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 1,024
- 1,466
TANROADS naomba niseme tu hamko makini. Kuna shimo lipo stand ya Dodoma MJINI Morogoro jirani kabisa na Substation kubwa kabisa ya TANESCO linasumbua sana!!
Kuna watendaji nahisi hawaelewi wajibu wao katika taasisi za Serikali especially TANROADS. Na hili shimo ipo siku litasababisha ajali police waje kusema ni uzembe wa Dereva;, Kumbe nae alikuwa akikwepa shimo.
Hebu zibeni hilo shimo. Tumechoka kusema ni Mapenzi ya Mungu!!
😬😬😬
Kuna watendaji nahisi hawaelewi wajibu wao katika taasisi za Serikali especially TANROADS. Na hili shimo ipo siku litasababisha ajali police waje kusema ni uzembe wa Dereva;, Kumbe nae alikuwa akikwepa shimo.
Hebu zibeni hilo shimo. Tumechoka kusema ni Mapenzi ya Mungu!!
😬😬😬