jojipoji koromije
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 1,024
- 1,466
Kwenye hilo shimo chini kuna bomba kubwa la maji limepita na linavuja. Hivyo inabidi Tanroads washirikiane na Moruwasa ili pakae sawaTANROADS naomba niseme tu hamko makini. Kuna shimo lipo stand ya Dodoma MJINI Morogoro jirani kabisa na Substation kubwa kabisa ya TANESCO linasumbua sana!!
Kuna watendaji nahisi hawaelewi wajibu wao katika taasisi za Serikali especially TANROADS. Na hili shimo ipo siku litasababisha ajali police waje kusema ni uzembe wa Dereva;, Kumbe nae alikuwa akikwepa shimo.
Hebu zibeni hilo shimo. Tumechoka kusema ni Mapenzi ya Mungu!!
π¬π¬π¬
NakaziaTupia habari picha
Wanasubiri hilo shimo lilete maafa kwanza.TANROADS naomba niseme tu hamko makini. Kuna shimo lipo stand ya Dodoma MJINI Morogoro jirani kabisa na Substation kubwa kabisa ya TANESCO linasumbua sana!!
Kuna watendaji nahisi hawaelewi wajibu wao katika taasisi za Serikali especially TANROADS. Na hili shimo ipo siku litasababisha ajali police waje kusema ni uzembe wa Dereva;, Kumbe nae alikuwa akikwepa shimo.
Hebu zibeni hilo shimo. Tumechoka kusema ni Mapenzi ya Mungu!!
π¬π¬π¬
Mkuu, kwani Morogoro ina Manager wa TANROADS? Kuna shimo jingine pale viwandani, mengine mengi yapo Wami Sokoine, Dakawa, Mikongeni, Dumila na kuendelea, ukienda highway ya Iringa kadhalika, ipo siku yatasababisha maafa kama yale ya Mafinga Majinja ilivyochinjaTANROADS naomba niseme tu hamko makini. Kuna shimo lipo stand ya Dodoma MJINI Morogoro jirani kabisa na Substation kubwa kabisa ya TANESCO linasumbua sana!!
Kuna watendaji nahisi hawaelewi wajibu wao katika taasisi za Serikali especially TANROADS. Na hili shimo ipo siku litasababisha ajali police waje kusema ni uzembe wa Dereva;, Kumbe nae alikuwa akikwepa shimo.
Hebu zibeni hilo shimo. Tumechoka kusema ni Mapenzi ya Mungu!!
π¬π¬π¬
Ukiona mapungufu hayo halafu Mkiti/CCM mkoa, Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa wilaya, Mbunge wapo kimya basi juwa kabisa wanafahamu pesa ya kuziba hayo mashimo wanajuwa ilipo ndo maana hata hawamuwajibishi huyo Meneja masna vikao vya bodi za barabra hufanyika kila baada ya miezi 3 na hayo mapungufu huelezewa kwenye bodi husika
Tanroads na tarura hovyo! Kama hapa arusha Barabara zina Mahandaki.TANROADS naomba niseme tu hamko makini. Kuna shimo lipo stand ya Dodoma MJINI Morogoro jirani kabisa na Substation kubwa kabisa ya TANESCO linasumbua sana!!
Kuna watendaji nahisi hawaelewi wajibu wao katika taasisi za Serikali especially TANROADS. Na hili shimo ipo siku litasababisha ajali police waje kusema ni uzembe wa Dereva;, Kumbe nae alikuwa akikwepa shimo.
Hebu zibeni hilo shimo. Tumechoka kusema ni Mapenzi ya Mungu!!
π¬π¬π¬
Hawana hata mia mbovu hao...unawalaumu Bure tuTANROADS naomba niseme tu hamko makini. Kuna shimo lipo stand ya Dodoma MJINI Morogoro jirani kabisa na Substation kubwa kabisa ya TANESCO linasumbua sana!!
Kuna watendaji nahisi hawaelewi wajibu wao katika taasisi za Serikali especially TANROADS. Na hili shimo ipo siku litasababisha ajali police waje kusema ni uzembe wa Dereva;, Kumbe nae alikuwa akikwepa shimo.
Hebu zibeni hilo shimo. Tumechoka kusema ni Mapenzi ya Mungu!!
π¬π¬π¬
Thread ifungwe kwa jibu hiliHawana hata mia mbovu hao...unawalaumu Bure tu
Ifungwe kwanini?Thread ifungwe kwa jibu hili