TANROADS Mbagala mpo au mmelala, mbona pachafu hivi?

TANROADS Mbagala mpo au mmelala, mbona pachafu hivi?

richaabra

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2016
Posts
1,472
Reaction score
3,511
Juzi nilipita zakiem pale hadi Rangi 3 mida ya saa 6 usiku, aisee nlichokiona ni zaidi ya uchafu hata kama watu wanatafuta rizki sio kwa uchafu ule.

Bara bara imejengwa mpya alafu kuna watu wanauza machungwa katikati ya barabara pambezoni, yaani kilichonishangaza ni mtu kafunga biashara alafu kacha zigo la maganda ya nachungwa limejaa barabarani ba kashaondoka yaani harabara imekuwa kama jalala.

Tanroads mjitathmini sio kwa uchafu ule barabara zinajengwa kwa garama zitunzwe tukiendekeza huu uchafu pale pataoza ndani ya mda mfupi.
 
Juzi nilipita zakiem pale hadi Rangi 3 mida ya saa 6 usiku, aisee nlichokiona ni zaidi ya uchafu hata kama watu wanatafuta rizki sio kwa uchafu ule.

Bara bara imejengwa mpya alafu kuna watu wanauza machungwa katikati ya barabara pambezoni, yaani kilichonishangaza ni mtu kafunga biashara alafu kacha zigo la maganda ya nachungwa limejaa barabarani ba kashaondoka yaani harabara imekuwa kama jalala.

Tanroads mjitathmini sio kwa uchafu ule barabara zinajengwa kwa garama zitunzwe tukiendekeza huu uchafu pale pataoza ndani ya mda mfupi.

Fika hadi Kwenye daraja la rangi 3 -DART ni aibu ,Uchafu hadi kwenye ngazi....Ngazi ya kwanza ni ndefu kimo cha Goti sijui mtu anapandaje pale.
 
sasa mbagala mbona vitu vya kawaida hvyo , sijawahi kuikuta safi ......!!! alaf Dar aliiweza makonda peke yake .
 
Juzi nilipita zakiem pale hadi Rangi 3 mida ya saa 6 usiku, aisee nlichokiona ni zaidi ya uchafu hata kama watu wanatafuta rizki sio kwa uchafu ule.

Bara bara imejengwa mpya alafu kuna watu wanauza machungwa katikati ya barabara pambezoni, yaani kilichonishangaza ni mtu kafunga biashara alafu kacha zigo la maganda ya nachungwa limejaa barabarani ba kashaondoka yaani harabara imekuwa kama jalala.

Tanroads mjitathmini sio kwa uchafu ule barabara zinajengwa kwa garama zitunzwe tukiendekeza huu uchafu pale pataoza ndani ya mda mfupi.
Wewe vipi? Ni jukumu lako pia kufanya usafi. Huna haja ya kusubiri Tanroad

Kuwa mzalendo.

Haya hamka hapo sofani sebuleni kwa shem wako vaa mabuti na overall ukajitolee kufanya usafi wa umma kwa maslahi mapana ya taifa.

Kammoon stand up kuwa mzalendo
 
Juzi nilipita zakiem pale hadi Rangi 3 mida ya saa 6 usiku, aisee nlichokiona ni zaidi ya uchafu hata kama watu wanatafuta rizki sio kwa uchafu ule.

Bara bara imejengwa mpya alafu kuna watu wanauza machungwa katikati ya barabara pambezoni, yaani kilichonishangaza ni mtu kafunga biashara alafu kacha zigo la maganda ya nachungwa limejaa barabarani ba kashaondoka yaani harabara imekuwa kama jalala.

Tanroads mjitathmini sio kwa uchafu ule barabara zinajengwa kwa garama zitunzwe tukiendekeza huu uchafu pale pataoza ndani ya mda mfupi.
WATU WEUSI NDIVYO WALIVYO

Hilo unaloshangaa hapo Mbagala lipo popote pale penye watu weusi duniani. Watu weusi ni WACHAFU, pia ni WAHARIBIFU WA FACILITIES

Wao wanajua tu kuchafua na kuharibu lakini hawajui kubuni, labda kurepair kidg

Hata wakijengewa vyoo vipya vya kisasa watavichafua na kuviharibu

Ni Wapumbavu sana.
 
Ni matokeo ya biashara holela na kutokuwepo kwa bin za uchafu huko mitaani.
 
Sindikiza/ambatanisha huu uzi wako na kile kibao pendwa cha Almasi kilichoshika hatamu na kuzidi kumuweka kileleni kilichotamba mnamo 2010...

"Tatizo kwetu mbwaaagalaaa..., hapa nyumba mbele Jhaaralaaaaa..., tatizo kwetu mbwaaagalaaa..., ukaona mapenzi siweeeziiii!"

#UziBilaPichaNaKamzikiKakusindikiziaNiBatili 😅👍🏾
 
WATU WEUSI NDIVYO WALIVYO

Hilo unaloshangaa hapo Mbagala lipo popote pale penye watu weusi duniani. Watu weusi ni WACHAFU, pia ni WAHARIBIFU WA FACILITIES

Wao wanajua tu kuchafua na kuharibu lakini hawajui kubuni, labda kurepair kidg

Hata wakijengewa vyoo vipya vya kisasa watavichafua na kuviharibu

Ni Wapumbavu sana.
Niggaz are cursed race. Angalia tu hata neighborhood zao huko USA. Angalia tu walivyoifanya South Africa baada ya wazungu kuwaachia.

Yqni sisi ni hopeless and helpless.
 
Umeshasema mbagala... mbagala wanaishi watu maskini kifikra na kiuchumi... umaskini na uchafu ni mapacha...

Tanroad unawaonea tuu kwenye issue hyo...
 
Niggaz are cursed race. Angalia tu hata neighborhood zao huko USA. Angalia tu walivyoifanya South Africa baada ya wazungu kuwaachia.

Yqni sisi ni hopeless and helpless.
Surely,
 
Back
Top Bottom