Tanroads mkoa wa Pwani zibeni viraka barabarani

Tanroads mkoa wa Pwani zibeni viraka barabarani

marwarwa

Senior Member
Joined
May 3, 2016
Posts
107
Reaction score
50
Hivi Ni kwanini Tanroads mkoa wa Pwani ni Ni wazembe kiasi hiki? Kwa mfano ukipita barabara ya Bagamoyo kama unaelekea mikoa ya Kaskazini wamekata viraka ili wavizibe ila Ni kama wiki ya pili sasa vimeachwa hivyo hivyo.

Hi inatusababishia usumbufu Sana na uharibifu wa magari.
 
Taratibu Kaka.
Kwanza ujue mkoa wa Pwani hatujawahi kua na mkuu wa mkoa tangu aondoke Sarungi. Ndio juzi tumempata huyu aliyechomolewa Dar. Kuanzia Sasa tegemea makubwa toka Pwani.
 
Hiyo njia ina mahandak ya hatari, tena hayo ni mashimo yaliyochongwa siku nyingi na mkandarasi bila kuzibwa vilaka, ipo siku yataleta ajali kubwa na kuanza kusingizia madereva.
 
Back
Top Bottom