Kwenu TANROADS,
Najua hii barabara mnaijua na mnajua kwamba iko chini yenu. Kwa kweli hii Barbara ni kero zaidi ya kero. Kila siku utakutana na magari ya abiria njiani yameharibika. Magari binafsi ndio usiseme.
Kwa kweli wakazi wanaotumia hii Barbara wamekuwa wahanga wakubwa kwa kukosa magari maana inafika wakati wenye daladala wanaondoa magari yao kwa sababu ya gharama nyingi za utengenezaji.
Kwa thread hii, naomba watu wa TANROADS mtakapokuwa mnatengeneza mpango wa bajeti ya 2021/2022 basi na hiyo barabara iangaliwe.
Najua hii barabara mnaijua na mnajua kwamba iko chini yenu. Kwa kweli hii Barbara ni kero zaidi ya kero. Kila siku utakutana na magari ya abiria njiani yameharibika. Magari binafsi ndio usiseme.
Kwa kweli wakazi wanaotumia hii Barbara wamekuwa wahanga wakubwa kwa kukosa magari maana inafika wakati wenye daladala wanaondoa magari yao kwa sababu ya gharama nyingi za utengenezaji.
Kwa thread hii, naomba watu wa TANROADS mtakapokuwa mnatengeneza mpango wa bajeti ya 2021/2022 basi na hiyo barabara iangaliwe.