Tanroads wawa chawa.

Tanroads wawa chawa.

Wimbo

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2012
Posts
866
Reaction score
625
Kuna vitu vinaumiza, unapoona watu wazima na akili zao wanaamua kuwa machawa sijui wanadhani wa Tanzania wore mazuzu!? Unasifiaje kazin ya Samia Miaka mine Barbara nyingi zimesimama hazijengwi SGR imeishia pale ilipoishia, ukiwa kiongozi msalie Mtume, unatetea kile kisichotoka moyoni sababu ya madlahi binafsi kumbuka utaulizwa.
 
Tanzania imefika point inabidi usifie ili ubaki kwenye mfumo
 
Kuna watu nchi hii bila kutaja jina Samia hawaendi choo!

Shithole!
 
Back
Top Bottom