TanTrade ongezeni ubunifu maonesho ya sabasaba

TanTrade ongezeni ubunifu maonesho ya sabasaba

king herode

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2017
Posts
368
Reaction score
571
Wakuu habari za muda huu,

Leo nilipata wasaa wa kwenda sabasaba pale nikitarajia nitakuta maonesho yenye tija yanayoendana na kasi ya kauli mbiu “uchumi wa viwanda na biashara endelevu”.

Kiukweli TanTrade mmetuangusha sana maonesho ya sabasaba hayabadiliki kabisa kilichofanyika miaka kumi nyuma ni sawa na kilichofanyika leo,nilitegemea tukuke engneering workshop zinazoendeleana na technologia ya sasa, nilitegemea tukute mialiko ya makampuni mengi ya nje katka nyanja mbalimbali, ila sasa sabasaba imekuwa sehemu ya michezo ya watoto na maonesho ya wizara ambayo kimsingi hayajakidhi dhima ya sherehe hii.

Tantrade mnatakiwa kuwa wabunifu wa shughuli yenu hii adhimu.
 
Mimi nilikwenda lengo langu kuangalia fursa ya mashine mbali mbali....nilichogundua mabanda tote yanamashine zinazofanana, kila MTU anatengeneza mashine ya kusaga......hakuna jipyaaa....kidogo walionifuta machozi ni kampuni ya ocean wasafirishaji WA mizigo.......wabadilike maonyesho yanaboa
 
Mimi nilikwenda lengo langu kuangalia fursa ya mashine mbali mbali....nilichogundua mabanda tote yanamashine zinazofanana, kila MTU anatengeneza mashine ya kusaga......hakuna jipyaaa....kidogo walionifuta machozi ni kampuni ya ocean wasafirishaji WA mizigo.......wabadilike maonyesho yanaboa

Yaani bro wewe kama mm nikaona bora nidake info za ocean cargo nikipata hela niagize china tu [emoji16][emoji16][emoji16] kila siku mashine hizo hzo afu mabanda yote kweli,,,, hapo nadhan kuna mabanda yanapewa sana nafasi ukija mtu mpya na kitu kipya hawakupokei that is the problem
 
Kwa hiyo unataka kusema hata magulio yanajitahidi...
 
Mimi nilikwenda lengo langu kuangalia fursa ya mashine mbali mbali....nilichogundua mabanda tote yanamashine zinazofanana, kila MTU anatengeneza mashine ya kusaga......hakuna jipyaaa....kidogo walionifuta machozi ni kampuni ya ocean wasafirishaji WA mizigo.......wabadilike maonyesho yanaboa
Maonyesho ya kula PER DIEM hayo
 
Ukiona hivyo ujue umeanza kuzeeka au maarifa yameongezeka,sabasaba ni mtoko tu hakuna kipya mambo ni yaleyale tangu nikiwa mdogo.watoto wanarnjoy sabasaba ila sio watu wazima
 
Ukiona hivyo ujue umeanza kuzeeka au maarifa yameongezeka,sabasaba ni mtoko tu hakuna kipya mambo ni yaleyale tangu nikiwa mdogo.watoto wanarnjoy sabasaba ila sio watu wazima
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Back
Top Bottom