TANTRADE wamelala usingizi

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
1. Majirani Kenya (KenTrade) wameboresha jinsi ya kupata huduma zao kidigitali (App) huku pia wakipambania kuuza Chai Sudan, Arabuni na China.

2. TANTRADE wanasubiri sare za vitenge na t-shirt pamoja na viingilio maonyesho ya SABASABA na mgao wa V8/VX.


3. Hivi Hawa TANTRADE huwa wanapewa targets Kwa mwaka?

NB: Waziri wa Biashara anaitwa nani?
 

Attachments

  • images (68).jpeg
    11.1 KB · Views: 7
  • Screenshot_2023-02-14-17-00-18-13_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
    115 KB · Views: 5
Na ndio kitu kikubwa nadhani hii Tantrade ilianzishiwa.

Wanatembea na ma VX, maofisi full AC hakuna lolote wanafanya. Akili ni kusubiri June wavae suti na sare za kanga wakafungue maonesho saba saba

Ukiwauliza watakwambia tupo kwenye mchakato wa sera endelevu kuhakikisha urari wa kibiashara haushuki kiwango stahiki na himilivu na kuhakikisha wafanyabiashara wananufaika na milango iliyofunguliwa, uliza matokeo sasa.!!

Jitu linatoa haya majibu tangu anaajiriwa siku ya kwanza hadi Siku anastaafu
 

South Africa, Congo, kuna masoko ya mchele makubwa, Uganda , Rwanda, Burundi wanahitaji sana mchele, kenya, uganda, rwanda uhitaji mkubwa wa karanga nyekundu kubwa ambapo malawi huvuna mabilioni ya mapesa huko, sudani kusini na uganda soko kubwa la muhogo hao walitakiwa kwanza waende kwa wakulima wawaeleze kua walime zao fulani kwa ukanda huo la biashara halafu wahakikishe wametafiti masoko hayo uhitaji ni muda upi, lakini wanafanya ziara duniani za ujanja ujanja hawana faida sawa na bodi ya mazao mchanganyiko wapo wapo tu bila faida
 
Hawana muda huo. Wanapishana airport kwenda Semina Dubai
 
Hawana muda huo. Wanapishana airport kwenda Semina Dubai

Kuna mambo hua nayawaza naona bado tumekosa viongozi wabunifu, hata wizara ya kilimo ilitakiwa kwenda mikoa ya singida, Tabora, Mbeya, Songwe, Kigoma, Dodoma kuhamasisha hata karanga nyekundu kubwa ambayo inahitajika sana sokoni, lakini wako zao kimya kabisa
 
Tatizo letu Elimu
Tunakariri tu ya vitabu wao wanafanya kwa vitendo

Sisi hata packaging [emoji403] mtihani, sasa tutauza wapi ambapo hata dagaa mnataka wauzwe kwenye Tenga?

Sio kuwaona wanafanya nini ila tujifunze kwao sio aibu ingawa mswahili anajifanya kila kitu tunajua

Supermarkets za Ulaya kuna products za Kenya na South Africa yaani mpaka wine [emoji485] ila sisi tumeshindwa hata za Dom kuleta Ukraine?

Au zina sumu kama juice ya Embe?
 
Hapo TANTRADE na sisi Zanzibar tunataka Mgao wetu. PASU-Kwa-PASU
 
Kama Mh. Rais Samia hatachukua hii comment yako kama pa kuanzia na wasaidizi wake, atakuwa hatutendei haki Watanzania.
Najua anapita humu sana tu.
 
No mission no vission
Mkuu hizo mission na vision tunazo 😁


Mission:
To Explore Trade opportunities for Tanzanian Enterprises and Connect them with Business Partners around the World

Vision:
To become a world class focal point centrally positioned to Facilitate, Promote, and support Trade for Economic Excellence.
 

Hongera Sana TANTRADE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…