Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Leo kutakuwa na Mchezo wa Kufuzu Kombe la Dunia mwaka 2022 pale Qatar, kati ya Tanzania dhidi ya DR Congo katika dimba la Benjamin Mkapa hapa Dar Es Salaam.
Taifa Stars wataingia dimbani wakitafuta point 3 muhimu ili waendelee kutengeneza mazingira mazuri ya kufuzu kombe la Dunia.
Ni mchezo muhimu sana, mechi itaanza saa 10:00 jioni na huu ndio uzi rasmi wa kuleta matangazo hapa, karibuni sana!!
=========
15' Mpira unaendelea uwanja wa Benjamin Mkapa, Time ya Taifa ya Congo inaongoza kwa goli moja lililofungwa dakika ya 6 na Gael Kakuta
66' Idumba anaipa Congo goli la pili, Tanzania 0-2 Congo
85' Ben Malango anaipa Congo bao la tatu
Mpira umwekwisha na Tanzania inapoteza. Tanzania itamaliza mechi ya kukamilisha ratiba na Madagascar
Taifa Stars wataingia dimbani wakitafuta point 3 muhimu ili waendelee kutengeneza mazingira mazuri ya kufuzu kombe la Dunia.
Ni mchezo muhimu sana, mechi itaanza saa 10:00 jioni na huu ndio uzi rasmi wa kuleta matangazo hapa, karibuni sana!!
=========
15' Mpira unaendelea uwanja wa Benjamin Mkapa, Time ya Taifa ya Congo inaongoza kwa goli moja lililofungwa dakika ya 6 na Gael Kakuta
66' Idumba anaipa Congo goli la pili, Tanzania 0-2 Congo
85' Ben Malango anaipa Congo bao la tatu
Mpira umwekwisha na Tanzania inapoteza. Tanzania itamaliza mechi ya kukamilisha ratiba na Madagascar