Those, who received Tanzanian Citizenship: India (64), Yemen (15), UAE (5), Kenya (5), Rwanda (5), Burundi (4), UK (3), Somalia(2), DRC (2), Germany(1), Nigeria (1), Zambia (1), Poland (1) and Lebanon (1), the minister told the parliament.
Tanzania: Govt Gives 110 Foreign Nationals Citizenship
[emoji23]Nyang'au naona wanakimbia njaa Kenya.
Wakenya 5 pekee vile watz ma begger wamejaaNyang'au naona wanakimbia njaa Kenya.
Hopeless kiaje ata hujui kenye unasema wewe..acha nikuletee link hapaKwikwikwikwi. Yaani wewe ni kati ya watu hopeless.
‘Tanzanian’ beggars fake disability to reap from Nairobi streetsKwikwikwikwi. Yaani wewe ni kati ya watu hopeless.
duh! Kenya na Tanzania yani!Nyang'au naona wanakimbia njaa Kenya.
Ooh ulijuajeWewe ni kati ya vijana ubongo wao umeathiriwa na bangi tangu watoto wadogo.
Measure gani unajumia..-100 what????Uwezo wako wa kutafakari almost -100.
Na mimi huwa najiuliza kwanini wahindi wengi hawapendi kujichanganya na wabongo huku mitaani, wengi utawakuta kwenye magorofa mijini, ni wachache sana utawakuta huku mitaani, tena kama ni mtaani huwezi jua kama humo ndani kuna wahindi wanaishi humowote sana lakini kwa wahindi inabidi tusimamishe kuwapa uraia coz tutakuwa kunatengeneza nchi ya India ndani ya mipaka ya Tanganyika kwani ni jamii ambayo pamoja na kuishi miaka zaidi ya 200 Africa na Tanganyika bado wamekataa kuchanganyika na jamii ya wenyeji kitu ambacho hakina Afya kwa umoja wa nchi
Haha ni vile huwezi kunielewa man your IQ is wanting....you can't understand me Mr..uko chiniUwezo wako wa commenting is below children standard.
Sifa ya kwanza kupata uraia wa nchi yeyote kwanza ni lazima ujue kusoma,kuongea na kuandika Lugha ya nchi unayotaka uraia kwa ufasaha pili ukubali kuingia kwenye utamaduni wa nchi hyo tatu ukubali kushirikiana na jamii utakayoikuta ikiwamo kushiriki ktk mambo yote ya kijamii na kitaifaNa mimi huwa najiuliza kwanini wahindi wengi hawapendi kujichanganya na wabongo huku mitaani, wengi utawakuta kwenye magorofa mijini, ni wachache sana utawakuta huku mitaani, tena kama ni mtaani huwezi jua kama humo ndani kuna wahindi wanaishi humo