COLLOH-MZII RELOADED
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 7,544
- 3,131
- Thread starter
-
- #21
But watu 78% kufail ni trickideUshawah kusoma class mkafaulu wote ?failers wapo tu
Post sent using JamiiForums mobile app
Kwanza kabisa soma hapa storage ya chakula Tanzania kwenye source za uhakikaBut watu 78% kufail ni trickide
sent from iPhone 7
Fact given 78% including you wanalala njaa...wacha upuz mwingiKwanza kabisa soma hapa storage ya chakula Tanzania kwenye source za uhakika
Hizi hapa ndio source za uhakika sa kuaminika. Achana na propaganda zenu za kikenya na wivu wenu wa kike.
Hali ya Chakula nchini kuelekea mwaka 2017 — Ministry of Agriculture Livestock and Fisheries
NFRA Official Website
Nataka nikuondoe ushamba kidogo. Mfumuko wa bei Tanzania upo chini ukilinganisa na huko kwenu. Hizi hapa ni taarifa zinaonesha namna gani ya mfumuko wa bei ulivyo
Tanzania is 5.4%
The Annual Headline Inflation Rate for the month of June, 2017 has further decreased to 5.4% from 6.1% recorded in May, 2017. This decrease in headline inflation explains that, the speed of price change for commodities in the year ending June, 2017 has further decreased as compared to the speed of price change recorded in May, 2017
Click to download the CPI June 2017(pdf)
Source: http://www.nbs.go.tz/nbstz/index.php/english/consumer-price-index-cpi/897-cpi-june-2017
Kenya 11.70%
The CPI increased by 0.75 per cent from 186.24 in April 2017 to 187.64 in May 2017. The overall year on year inflation was 11.70 per cent in May 2017.Download CPI and rates of inflation for May 2017
Source: Release of CPI and rates of inflation for May 2017 - Kenya National Bureau of Statistics
Sasa tuje kwenye bei za mazao
Bei ya mazao Tanzania
Nimweka hapo chini report ya bei ya mazao Tanzania wewe itazame. Hizo zote ni indicators muhimu za kujua hali ya uwepo wa chakula katika nchi.
Soma hapa:
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Sasa hebu tunagalie kwenu Kenya:
Hii hapa website yenu inayohusu hayo mambo ya bei za mazao. Halafu bahati mbaya kabisa hawajaweka bei ya mazao muhimu
Soma hapa:
Soko+
Nakuomba dogo usije ukaanza kukurupuka, na propaganda za media za nchi yenu. Hazina nafasi katika nchi yetu kila kitu kipo open.
Hakuna kitu kama hicho TZ labda unataka kujifurahisha tu. Na hii ni comment yangu ya mwisho kwenye thread yako hii. Nimeshaweka maelezo ulivyotaka kupotosha nisawazisha mambo. So endelea kujifurahisha.Fact given 78% including you wanalala njaa...wacha upuz mwingi
sent from iPhone 7
Nimekupea link from a Tanzanian trusted source lia lia kabsa but hamwezi ficha ukweliHakuna kitu kama hicho TZ labda unataka kujifurahisha tu. Na hii ni comment yangu ya mwisho kwenye thread yako hii. Nimeshaweka maelezo ulivyotaka kupotosha nisawazisha mambo. So endelea kujifurahisha.
Mwaka huu njaa kama ya Kenya hautaiona Tanzania and you can take that to the bank. Kama Tanzania kuna njaa, where is the panic buying kama iliyokuwa Kenya? Mbona hakuna rationing kama iliyokuwa Kenya? Wako wapi starving people and animals kama tunaowaona in northern Kenya?Nimekupea link from a Tanzanian trusted source lia lia kabsa but hamwezi ficha ukweli
sent from iPhone 7
Ata uandike novel 78% njaa ni factMwaka huu njaa kama ya Kenya hautaiona Tanzania and you can take that to the bank. Kama Tanzania kuna njaa, where is the panic buying kama iliyokuwa Kenya? Mbona hakuna rationing kama iliyokuwa Kenya? Wako wapi starving people and animals kama tunaowaona in northern Kenya?
Twaweza wamefanya survey nyingi Kenya, unazikibali zote??
Kukiwa na njaa, inflection haibaki salama, mbona sisi ndio wenye inflation ya chini kuliko nchi yoyote ya Afrika mashariki na kati? Tena inazidi kushuka kila mwezi.
Usifanye mchezo na njaa, mpaka unaaza kuota jirani yako ana njaa pia. SMHAta uandike novel 78% njaa ni fact
sent from iPhone 7
Mwaka huu njaa kama ya Kenya hautaiona Tanzania and you can take that to the bank. Kama Tanzania kuna njaa, where is the panic buying kama iliyokuwa Kenya? Mbona hakuna rationing kama iliyokuwa Kenya? Wako wapi starving people and animals kama tunaowaona in northern Kenya?
Twaweza wamefanya survey nyingi Kenya, unazikibali zote??
Kukiwa na njaa, inflection haibaki salama, mbona sisi ndio wenye inflation ya chini kuliko nchi yoyote ya Afrika mashariki na kati? Tena inazidi kushuka kila mwezi.
Since when you ask for my permission to post anything on JF. Does lack of nutrition translate to hunger? The topic was about hunger, Kenya has hunger, Tanzania hasn't. Kenya receivers food donation, Tanzania doesn't. Kenya has food rationing, Tanzania ......well you know the rest.Nikupostie zile map za Fao/ Wfp from 2010?
Mnashinda mkisema ati Kenya nchi ya njaa na Tz imerankiwa as having the third worst case of stunted growth as a result of poor nutrition in Africa.
UNICEF Tanzania - Nutrition - Overview
Ni upubavu wa hali ya juu mtu kusema ati Kenya ni nchi ya njaa juu wananunua mahindi ( na sio vyakula vingine) kutoka mataifa mengine...
View attachment 543175
View attachment 543176
View attachment 543177
View attachment 543178
View attachment 543179
View attachment 543180
A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
Dabbab is a refugee camp....then just give me any evidence of 10% of Kenya's pop in hunger .....yours is 78%Hizi ni baathi ya picha zikionyesha tatizo la njaa. Nime screen shot zikiwa na maelezo ili wasiseme ni fake. Nyingine nyingi nitakuwa nikiweka kadri ya thread itavyo trend. Nataka tumalizane vizuri.View attachment 544011
View attachment 544012View attachment 544013 View attachment 544014View attachment 544015 View attachment 544016View attachment 544017 View attachment 544018View attachment 544019 View attachment 544020View attachment 544021 View attachment 544022View attachment 544022 View attachment 544023View attachment 544024View attachment 544025 View attachment 544025View attachment 544026 View attachment 544027View attachment 544028
Dabbab is a refugee camp....then just give me any evidence of 10% of Kenya's pop in hunger .....yours is 78%
sent from iPhone 7
Msee let me tell you
1.northern Kenya ni desert so wasee was huko ni the poorest in Kenya na pia hakuna mvua..the place is sparsely populed and maybe contributes 1% or below to the GDP- hapo ndio njaa iko
2.Kenya has several refugees from somalia,Ethiopia and south Sudan hawa pia ndio njaa inawatwanga
3.even if one Kenyan is hit with hunger..Kenyans online and the Kenyan media reports all the staff unlike you guys who die silently
4.its confirmed 78% wanalala njaa while Kenya's 6% meza wembe
sent from iPhone 7