Tanzania bado ina ardhi kubwa ya kuongeza mamilioni ya watu? Vurumai za ardhi za nini?

Tanzania bado ina ardhi kubwa ya kuongeza mamilioni ya watu? Vurumai za ardhi za nini?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Watanzania wengi wanapohamasishwa kuzaa watoto wachache kwa uzazi wa mpango huwa wabishi sana na mojawapo ya hoja yao kubwa ni kwamba Tanzania bado ina ardhi kubwa sana na inahitaji watu wengi zaidi, cha kushangaza tena ni kwamba wawekezaji wageni wanapopewa ardhi kunazuka vurumai kubwa sana na kelele kila upande wa ardhi kuchukuliwa!

Hao wanaonyang'anywa ardhi kwa nini wasihamie tu kwenye hayo mapori makubwa yanayosemwa yako wazi yanahitaji kujazwa na watu?
 
Watanzania wengi wanapohamasishwa kuzaa watoto wachache kwa uzazi wa mpango huwa wabishi sana na mojawapo ya hoja yao kubwa ni kwamba Tanzania bado ina ardhi kubwa sana na inahitaji watu wengi zaidi, cha kushangaza tena ni kwamba wawekezaji wageni wanapopewa ardhi kunazuka vurumai kubwa sana na kelele kila upande wa ardhi kuchukuliwa!

Hao wanaonyang'anywa ardhi kwa nini wasihamie tu kwenye hayo mapori makubwa yanayosemwa yako wazi yanahitaji kujazwa na watu?
Hii nchi haina watu wazuri wa mipango na mambo mengi yanaendeshwa kiasiasa ndio tatizo lilipo..
Kuna mambo ukiyaangalia unashangaa yanapata airtime kunwa wakti yalikuwa ni mambo ya kumalizwa chap tu. Swala la wamasai serikali inawezekana ipo:

1. Sahihi ila approach inayotumia haina mashiko.
2. Swala la vijana kubaka ndio aibu kabisa linavyo fanyiwa kazi na serikali
3. Swala la trc kulalamika watu wanapanda treni wanalipa kwenda pugu then hawashuki hadi dodoma ndio limewavua nguo hao trc yaani ni aibu kwa utendaji wao..
 
Watanzania wengi wanapohamasishwa kuzaa watoto wachache kwa uzazi wa mpango huwa wabishi sana na mojawapo ya hoja yao kubwa ni kwamba Tanzania bado ina ardhi kubwa sana na inahitaji watu wengi zaidi, cha kushangaza tena ni kwamba wawekezaji wageni wanapopewa ardhi kunazuka vurumai kubwa sana na kelele kila upande wa ardhi kuchukuliwa!

Hao wanaonyang'anywa ardhi kwa nini wasihamie tu kwenye hayo mapori makubwa yanayosemwa yako wazi yanahitaji kujazwa na watu??
Si kuhusu ardhi tu mkuu ingekuwa hivyo basi wachaga wangekuwa wanauza ardhi za koo zao. Hujawahi jiuliza kwanini waisrael walikataa kuhamishiwa uganda wakarudi pale israel wakipigane na wapalestina lakini uganda wakagoma japo ardhi ya uganda ina rutuba zaidi
 
Watanzania wengi wanapohamasishwa kuzaa watoto wachache kwa uzazi wa mpango huwa wabishi sana na mojawapo ya hoja yao kubwa ni kwamba Tanzania bado ina ardhi kubwa sana na inahitaji watu wengi zaidi, cha kushangaza tena ni kwamba wawekezaji wageni wanapopewa ardhi kunazuka vurumai kubwa sana na kelele kila upande wa ardhi kuchukuliwa!

Hao wanaonyang'anywa ardhi kwa nini wasihamie tu kwenye hayo mapori makubwa yanayosemwa yako wazi yanahitaji kujazwa na watu??
alikuwa anayasema katili magufuli
 
Umeamka na hili ndilo wazo la kwanza kukujia?
Ana kisirani leo.

...na ana hasira sana, kadanganya sehemu, wamemkurupusha huko sasa anaendeleza ugaidi wa mtandaoni🤯😂😂😂😂😂😂

Hasira zake anamalizia kwa "Waafrika"🔥
 
Mbona Wa-Israeli wanalima jangwani wakiwa vitani hadi wanasafirisha nje ya nchi na kufundisha Waafrika kilimo pia??
Sasa mkuu mkulima wa eka 5 mtaji wenyewe wakuunga unga ataweza kweli kulima jangwani 😔😔😔

Wamasai wasikilizwe nchi n yetu sote
 
Watanzania wengi wanapohamasishwa kuzaa watoto wachache kwa uzazi wa mpango huwa wabishi sana na mojawapo ya hoja yao kubwa ni kwamba Tanzania bado ina ardhi kubwa sana na inahitaji watu wengi zaidi, cha kushangaza tena ni kwamba wawekezaji wageni wanapopewa ardhi kunazuka vurumai kubwa sana na kelele kila upande wa ardhi kuchukuliwa!

Hao wanaonyang'anywa ardhi kwa nini wasihamie tu kwenye hayo mapori makubwa yanayosemwa yako wazi yanahitaji kujazwa na watu??
Tatizo muwekezaji anataka haphapo kwenye watu, huko kwenye ardhi kubwa unakosema hapataki. Mfano muwekezaji mmoja aliwahi kupewa heka 26000, wananchi akawa na mgogoro kwenye hekari 6000. Cha ajabu alikuwa na kiu na hizo 6000 kuliko 20k zisizo na mgogoro kiasi kwamba hadi anatimuliwa na eneo kupewa mwingine huko hajafanya kitu.

Huwa unajiuliza ni TZ tu au Dunia nzima ambapo ukihusa ardhi tu hata mtaani huku Lazima utakuwa pamejaa kesi na migogoro. Karibu Kila eneo liko prone kwa ajili ya migogoro au mgogoro ujao.

Kuna haja ya kufanya maamuzi magumu katika kunyoosha suala la ardhi ili Liwe Baraka kwa watanzania bila migogoro inayohepukika.
 
Si kuhusu ardhi tu mkuu ingekuwa hivyo basi wachaga wangekuwa wanauza ardhi za koo zao. Hujawahi jiuliza kwanini waisrael walikataa kuhamishiwa uganda wakarudi pale israel wakipigane na wapalestina lakini uganda wakagoma japo ardhi ya uganda ina rutuba zaidi
Wachaga hawana ardhi ya kuuza, ardhi ya wachaga imebaki ya bustani za mboga tu, hata wao wenyewe haiwatoshi na wengi wamehamia mikoa mingine. Israel hawajawahi kukataa kuhamia Uganda, kwanza walikuwa hata hawapajui, wengahamiaje sehemu hawapajui.
 
Tatizo muwekezaji anataka haphapo kwenye watu, huko kwenye ardhi kubwa unakosema hapataki. Mfano muwekezaji mmoja aliwahi kupewa heka 26000, wananchi akawa na mgogoro kwenye hekari 6000. Cha ajabu alikuwa na kiu na hizo 6000 kuliko 20k zisizo na mgogoro.
Wananchi wamauachie muwekezaji hapo anapopataka wao wahamie huko kwenye ardhi kubwa, si inasemwa ardhi iko tele Tanzania, ya nini kugombana
 
Wachaga hawana ardhi ya kuuza, ardhi ya wachaga imebaki ya bustani za mboga tu, hata wao wenyewe haiwatoshi na wengi wamehamia mikoa mingine. Israel hawajawahi kukataa kuhamia Uganda, kwanza walikuwa hata hawapajui, wengahamiaje sehemu hawapajui.
ingekuwa kuhusu ardhi wangekubali. ardhi inafuatana na historia, na identity ndio maana watu sometimes unakuta unahudumia nyumba na ardhi huko kijijini umewaka hadi watu unawalipa na hakuna chochote unachopata financially ila tu unaitunza kwa sababu ni identity yako, ni chanzo chako tu.
 
ingekuwa kuhusu ardhi wangekubali. ardhi inafuatana na historia, na identity ndio maana watu sometimes unakuta unahudumia nyumba na ardhi huko kijijini umewaka hadi watu unawalipa na hakuna chochote unachopata financially ila tu unaitunza kwa sababu ni identity yako, ni chanzo chako tu.
Unaweza kuanzisha identity yako sehemu nyingine, usikariri maisha.
 
Back
Top Bottom