inasikitishazaidi ukifuatilia jinsi mambo yanavyo endeshwa na viongozi wa soka mathalani kambi ya stars yan Unatoka kwako unaenda kuweka kambi ugenini wakati mechi inachezewa kwakoUle msemo "Kichwa cha mwendawazimu " umeendelea kututafuna wenyewe baada ya timu ya taifa ya tanzania TAIFA STARS kushindwa kupata ushindi dhidi ya Lesotho kwenye uwanja wa nyumbani. Achilia mbali kukosa ushindi, taifa stars imeonyesha kiwango kibovu na kushindwa kutengeneza nafasi za mabao huku kocha Salum Mayanga akionekana kukosa mbinu zozote. Nawapa pole watanzania walioumizwa na matokeo haya.
Nadhani waliweka kambi kufanya utalii, wachezaji wanapoteza mpira ovyo kama bonanza la wabunge wa simba na yangainasikitishazaidi ukifuatilia jinsi mambo yanavyo endeshwa na viongozi wa soka mathalani kambi ya stars yan Unatoka kwako unaenda kuweka kambi ugenini wakati mechi inachezewa kwako
Mm sijuisana bt naona kunatatizo kubwa somewhere na linahitaji ufumbuzi
Ingekua poa zaidi kama wangeweka kambi serengeti au mikumi ile wiki ya mazingira utalii wandani ilikua bureNadhani waliweka kambi kufanya utalii, wachezaji wanapoteza mpira ovyo kama bonanza la wabunge wa simba na yanga
Uhamasishaji ni sifuri kabisa ! Kumpa uwaziri mtu asiyependwa hata kwao ni hatari sana .Waziri wa michezo hana hata knowledge yyte kuhusiana na michezo. Kisa ni mwanaccm basi kapewa uwaziri.
Nishakataa kushabikia timu za Tanzania sbb kwanza zinaenda kisiasa, 2. Ubaguzi, wachezaji wanatoka simba na yanga.
Siwezi kujipa presha kuishabikia taifa stars. Mm nilikuwa zangu Lesotho
Pesa zote wameenda kunywea pombe. Nilishangaa sana kuona nyasi za simba na basi la serengeti boys linataka kupigwa mnada kisa kodi. Niliona ni upuuzi sana tena sana. Nilijua hatutafika mbali,
taifa stars ni ugonjwa wa moyo. Bora nicheki timu za nje kuliko hizi za wendawazimu.
Ndio haohao , sema alhamdullilah , kila mmoja amerudi na smartphone na headphone zake .Hivi wale ndo walienda kuweka kambi misir ni aibu tuu