TANZANIA beat FRANCE, coz were beaten by SENEGAL...

rmo

Member
Joined
Nov 20, 2016
Posts
97
Reaction score
101
Nimejikuta nacheka baada ya kukumbuka kaulu ya aliyekua kocha wa Taifa Stars ,Maximo,baada ya kuifunga Burkina faso kwamba sababu Burkina Faso waliifunga Senegal ambayo ilitufunga 4-0,na ambayo iliifunga France World Cup.
Sasa akasema if Senegal beat France,Burkina Faso beat Senegal,and Tanzania beat Burkina faso,so TANZANIA BEAT FRANCE,yaani bonge la shortcut.
Dah jamaa alinogesha sana soka letu,hata sijui yukwapi kwa sasa.
 
Nakubuka tukiwa primary kama kuna Mtu anakufua, ikatokea na yeye akaotewa na mwingine basi automatic ni mbabe wenu wote bila hata pambano!!

kufua = kupiga!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…