zubedasoud
Member
- Feb 1, 2017
- 91
- 117
Shirika la viwango Tanzania ,kazi zao hazionekan na hii inanifanya nsione umuhim na ufanisi wa utendaj kazi wao
,Leo asubuh naenda dukan kununu sukarr nakutana na sukar fake ,sukar inapackage na brand ya kilombero,yaani taabu tuu,vitu fake vingi has a maeneo ya vijijini huku,TBS wamepiga chapa ila ndani product ni fake,ushaur wasikazane kupiga chapa viwandan badala yake wafanye ukaguzi madukan,hasa mkoa wa simiyu huku vitu fake in vingi
,Leo asubuh naenda dukan kununu sukarr nakutana na sukar fake ,sukar inapackage na brand ya kilombero,yaani taabu tuu,vitu fake vingi has a maeneo ya vijijini huku,TBS wamepiga chapa ila ndani product ni fake,ushaur wasikazane kupiga chapa viwandan badala yake wafanye ukaguzi madukan,hasa mkoa wa simiyu huku vitu fake in vingi