zubedasoud
Member
- Feb 1, 2017
- 91
- 117
Tanzania Beurial of Standard ndo kitu gani...kwani sukari fake inasifa gani?Shirika la viwango Tanzania ,kazi zao hazionekan na hii inanifanya nsione umuhim na ufanisi wa utendaj kazi wao
Then zitafute kazi zake utaziona... Coz usitegemee utazijua kwa kusikiliza xxxl au kuwasikiliza wakina SHILAWADU...Shirika la viwango Tanzania ,kazi zao hazionekan na hii inanifanya nsione umuhim na ufanisi wa utendaj kazi wao
Unazidi kumpoteza mwenzako.. Bereau ndo nini?Tangazo mubashara.
Unamaanisha TBS? Ni Tanzania bereau of standard.