kwani nchi hii hata ina rais au!!???
toa ibara ya katiba, please!
(f) atakapoapishwa Rais mwingine kushika nafasi ya Rais pamoja na Makamu wake;
hyo katiba pia hatuna..........maana ccm walimuondolea uwezo rais wa znz kuwa makamu wa rais wakati wa salmin...........kwa hivyo ilivyokuwa utawala wa sheria haupo nchi hii basi shein atakuwa rais wa znz na pia makamu wa raIS WA TZ
Baada ya Dkt Shein kuapishwa kuwa Rais wa Zanzibar leo, Tanzania kwa sasa haina Makamu wa Rais! Hapa Katiba haijavunjwa wandugu? Tujadili!