Tanzania bloggers(akina Geza ulogwe) jiandaeni kulipa $ 900

Tanzania bloggers(akina Geza ulogwe) jiandaeni kulipa $ 900

Nairoberry

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2012
Posts
932
Reaction score
525
Inategemea na blog. Zingine zinalipa zenyewe maana zinatumika kutangaza biashara mbalimbali.
Pia ni muhimu kudhibiti KILA mtu kujifanya mwanahabari mpaka taaluma inakosa maana.
Pia ni chanzo cha mapato ya serikali.
 
Kama ni kukusanya ushuru si washindane na kina Malawi juu Kenya ni ligi nyingine ya juuuuu tu sana.
 
Hawa wengi na makajamba tu wamefulia huja kutolea stress huku, sasa uwaagize walipe $900 si ndio utakua umewamaliza. Utakuta mtu anakesha humu hata unashindwa lini hupata fursa ya kupiga meno mswaki, atajibu uzi kwa uzi yaani unakuta uzi umekwenda kurasa hamsini anajibu kila kurasa......labda kama wanalipwa na JF.
 
duh,hii hela ndefuuu😀
Hawa wengi na makajamba tu wamefulia huja kutolea stress huku, sasa uwaagize walipe $900 si ndio utakua umewamaliza. Utakuta mtu anakesha humu hata unashindwa lini hupata fursa ya kupiga meno mswaki, atajibu uzi kwa uzi yaani unakuta uzi umekwenda kurasa hamsini anajibu kila kurasa......labda kama wanalipwa na JF.
 
Hawa wengi na makajamba tu wamefulia huja kutolea stress huku, sasa uwaagize walipe $900 si ndio utakua umewamaliza. Utakuta mtu anakesha humu hata unashindwa lini hupata fursa ya kupiga meno mswaki, atajibu uzi kwa uzi yaani unakuta uzi umekwenda kurasa hamsini anajibu kila kurasa......labda kama wanalipwa na JF.

Mbona na wewe hatuchekani. Daily upo hapa kijiweni kupiga story.
Ahaaa haaa haaa.
 
Mbona na wewe hatuchekani. Daily upo hapa kijiweni kupiga story.
Ahaaa haaa haaa.

Huwa naleta taarifa nikikutana nazo na kuanzisha uzi ambapo ni kitu cha dakika mbili, balafu mchana nikipata fursa nakuja kucheck check mambo yanakwendaje humu. Lakini kuna wadau humu huandika insha kwenye kila uzi na atajibu kila kurasa kwenye nyuzi zinazokwenda kurasa hata mia, aisei kama hawalipwi basi nawapa hongera maana sijui hata huoga saa ngapi.

Mimi hata kuna wakati sipati fursa ya kuangalia notifications zangu hadi zinajaa, hebu check hii picha hapa ya notifications zangu

jf_alerts.jpg
 
Inategemea na blog. Zingine zinalipa zenyewe maana zinatumika kutangaza biashara mbalimbali.
Pia ni muhimu kudhibiti KILA mtu kujifanya mwanahabari mpaka taaluma inakosa maana.
Pia ni chanzo cha mapato ya serikali.
dogo,huwezi dhibiti kila mtu,,, kujaribu ivyo ni mithili ya kufukuzana na bata bukini wa msitu. tatizo la Magufuli ni kuwa anafikiria kama wewe,,,,yaani kwa kiingereza micro managing people
 
Hawa wengi na makajamba tu wamefulia huja kutolea stress huku, sasa uwaagize walipe $900 si ndio utakua umewamaliza. Utakuta mtu anakesha humu hata unashindwa lini hupata fursa ya kupiga meno mswaki, atajibu uzi kwa uzi yaani unakuta uzi umekwenda kurasa hamsini anajibu kila kurasa......labda kama wanalipwa na JF.
Watu na stress zao hao wanakesha humu. Kamwe hutawaona wakichungulia na kupotea. Wapo hapa fulltime! Acha mswaki wanavunda kwa kutooga. $900 labda wachinjwe nyama ziuzwe reja reja.
 
Back
Top Bottom