Tanzania chini ya JK inaweza kufikia maendeleo haya?

Tanzania chini ya JK inaweza kufikia maendeleo haya?

QUALITY

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2010
Posts
853
Reaction score
115
Yako mambo mengi ya kimaendeleo ambayo hayashughulikiwi. Hivi punde wizara ya ardhi imetoa video inayoonesha mji wa kisasa wa Kigamboni. Abao inasemekana utajengwa kwa miaka 20 kwa awamu tatu. yaani awamu ya kwanza 2011-20; awamu ya pili 2021-2025 na awamu ya tatu na ya mwisho 2026 to 2030. Lakini cha kujiuliza ni kuwa hao watakaowekeza serikali itawalipa lini?

Mbona reli ya kati imeshindikana?

Barabara za ndani Dar kwenyewe zimwshindikana? Huduma za afya ndo usiseme; sasa hili litawezekanaje?

Jioneeni kupitia kiunganishi hiki


 
Last edited by a moderator:
Ni kwa hisani ya watu wa marekani
 
Kwa kizazi hiki na serikali hii, haiwezekani kamwe!

jamani kwa nini maendeleo haya yacwezekane. Issue ni investiment style. Watu walitoa negative opinion kwa mlimani city project lakini imewezekana. Much iknow kigamboni itajengwa na private companies na individuals harafu watajilipa wenyewe.
 
maendeleo kweli tunayo maana huku Kwetu Igunga jamaa aliahidi kutuletea meli sisi tukamwambia hatuna ziwa akasema nitaleta ziwa pia, akaahidi daraja tukamwambia hatuna mto akaahidi mto. huko kaahidi nini!!.

Kigambo imeuzwa na taarifa nyetu ni kuwa jamaa wanachotaka ni kuchimba Gesi suala la mji mpya ni geresha tu. ccm na jamaa anajua. gharama yake ni njuruku za uchaguzi. pole wanakigamboni.
 
Back
Top Bottom