Sasa unaweza kuvuta pesa kutoka kwenye mshshsra wako au pensheni yako mpaka limit waliyoweka.
Huduma hiyo imeanzishwa two days back. Je kuna madhara yoyote kutumia huduma hiyo? Haya mambo ya technology yana siri nyingi!
Mfano haya makampuni ya simu yanatuibia sana kwa kula bundle eti kuna background applications zinakuwa zinatumia bundle wakati umefungua simu. Wizi tu hakuna lolote!
Technology inawaruhusu kufanya lolote katika simu yako bila mtumiaji kuwa na uwezo wakuwazuia!
Huduma hiyo imeanzishwa two days back. Je kuna madhara yoyote kutumia huduma hiyo? Haya mambo ya technology yana siri nyingi!
Mfano haya makampuni ya simu yanatuibia sana kwa kula bundle eti kuna background applications zinakuwa zinatumia bundle wakati umefungua simu. Wizi tu hakuna lolote!
Technology inawaruhusu kufanya lolote katika simu yako bila mtumiaji kuwa na uwezo wakuwazuia!