Tanzania Commision for Universities- kujitoa kwa MOROGORO ISLAMIC UNIVERSITY

c kweli kwa mwanafunzi mwnye 4 kuwa addmited MUM, asa alikua na 4 at o level how comes akaweza kuingia A level?

Kuna watu kaka wanaongea bila vivid example af pia wanapenda kuropoka na ktk jamii ya waerevu waropofu hawadumu.
swal zuri sana kama alipata form 4 dvs 0 advance aliendaje au kuna watu wakitoka form wanaenda chuo kupata degree.........?
 
Wewe mtoto najua wewe ni ex form six aspiring for university education. Sidhani kama baba na mama yako wamekufundisha matusi , ULAANIWE wewe na UZAO wako: NAKULAANI! UKO UNAKOKWENDA UDISKO UENDE MITAANI

Duh aisee ungekuwa kila usemalo latokea...
 
Mimi binafsi nasoma MUM chuoni pale kuna uzingatiwaji wa maadili kupita maelezo kwaiyo si kila mtu anaitajika kusoma pale ndo maana chuo kina MISSION & VISION yake ?

Hayo maadili yameonekana kwa nani baada ya kumaliza masomo?
 

"wahaya utawajua tu"
 
Ivi inawezekana chuo kikuu kujitoa na registration ya TCU? Alafu inakuwaje kwa Graduates wao wakienda nje ya chini wakitaka ku apply maana si inabidi vyuo vya nje virudi huku ili kupata usahihi wa mwanafunzi huyo?au nini faida ya TCU?

Nje ya chini unamaanisha chini ya bunye au?
 

Acha uongo wewe, TCU hawajawahi kukipa chuo chochote wanafunzi wasiowaomba. Kifupi ni chuo chenyewe ndo kinapelekea entry qualification za kila program zao TCU na hao TCU wanaselect kulingana na hizo entry qualification. Na kabla hawaja tangaza majina ya waliochguliwa huwa kila chuo kinapelekewa list ya wote wanaotegemewa kuchaguliwa ili waone kama kuna dosari yoyote kabla ya kuyatangaza majina. Sasa hapo unasemaje chuo kinapelekewa wanafunzi wasio wahitaji? Watanzania tujifunze kupata taarifa kabla ya kuongea, unaudanganya umma.
 
Chakujiuliza ni kwanini baadhi ya vyuo wanatoa form za kujiunga na vyuo vyao japo wapo tcu?Mfano ungetembelea tovuti ya Mkumira utakuta kuna wanafunzi baadhi walisha chaguliwa kabla ya matokeo ya tcu. Lakini pia mie mwaka uliopita nilifanya application pale na majinayalipotoka kwenye gazeti kwenye kichwa cha habari yaliandikwa Approved by TCU.Zaidi wanadhaminiwa na bodi ya mikopo kama vyuo vya tcu. Mimi nafikili hakuna shida yoyote kama wanavyodai walopokaji wengine.........Chuo kinatambulika kisheria na ndiomaana hata wahitim wake wanapewaajila na serikali kama wahitim wengine wa tcu na kwa mshahala uleule vigezo vile vile. Naombaniweke sawa hapa kuwa chuo si chakibaguzi kama kila mgalatia anavyofikilia ukweli ni kwamba kinacho washinda wagala wengi ni kujistili tu na si vinginevyo.Kifupi wamezoea kukaa uchi na kuitangaza miili yao,hiyo kwa wadada na kwa wakaka uhuninyumbani MUM elim. Wapo wagala wachache wanao mudu mashalti ya MUM na wanaendelea kuelimika pale!
 
Aliwezaje kusoma A level akiwa ana 4 ya O level?
 

kwa io hata wewe umesoma mum?maana uwezo wako wa kufikiri si wa kawaida .inawezekana vipi mtu apate 4 alafu aende form 5.fikiri kabla hujaropoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…