karim kindole
Member
- Aug 20, 2014
- 31
- 13
c kweli kwa mwanafunzi mwnye 4 kuwa addmited MUM, asa alikua na 4 at o level how comes akaweza kuingia A level?
Wewe mtoto najua wewe ni ex form six aspiring for university education. Sidhani kama baba na mama yako wamekufundisha matusi , ULAANIWE wewe na UZAO wako: NAKULAANI! UKO UNAKOKWENDA UDISKO UENDE MITAANI
Mimi binafsi nasoma MUM chuoni pale kuna uzingatiwaji wa maadili kupita maelezo kwaiyo si kila mtu anaitajika kusoma pale ndo maana chuo kina MISSION & VISION yake ?
Hivi nasikia hata ponda ni lecturer hapo MUM!
nakula pension mwaka wa 11, uzao wangu wa kwanza, male, yuko washington, na second born girl and last yuko london. Naandika msg hii nipo kijijini ndani ndani kabisa bukoba, you can not imagine. Kwa kiasi fulani, sio sana maisha hayajanidisco. Basi naondoa laana. Mungu akubariki uendelee vizuri na shule yako. Uwe ka kauli nzuri humu wengine ni wazee wako.
Ivi inawezekana chuo kikuu kujitoa na registration ya TCU? Alafu inakuwaje kwa Graduates wao wakienda nje ya chini wakitaka ku apply maana si inabidi vyuo vya nje virudi huku ili kupata usahihi wa mwanafunzi huyo?au nini faida ya TCU?
hiv ulishawah kujiulza kwann Udsm wamewamind TCU katka swala la kuwapelekea wanafunz wacokuwa na vgezo? Mfano: Law wanachukua dvsn 1 but hata wa 2 mwaka huu wamepelekwa thats y Udsm wamemind.MUM hawalitak hlo litokee.Kama una nia ya kusoma kwao bac unatakiwa uende chuon kwao ukachukue 4m.Ila mkopo unakula kama kawa!
"wahaya utawajua tu"
"wahaya utawajua tu"
"wahaya utawajua tu"
Aliwezaje kusoma A level akiwa ana 4 ya O level?Hiki chuo kweli hakitizami alama "principals" pekee kama criteria pekee ya kukupa admission, nimestaajabu leo hii kuona matokeo ya o level & a level ya mmoja wa wanafunzi wa chuo hiki cha MUM nikabaki najiuliza alipataje admission ya chuo kikuu? Kwa Div 4, O level & A level eti alikuwa admitted?
Au lengo ni kuzalisha idadi kubwa ya muslims wenye shahada tu?
Dah nimecheka aisee kuna watu mna comment khaaaaa
hiki chuo kweli hakitizami alama "principals" pekee kama criteria pekee ya kukupa admission, nimestaajabu leo hii kuona matokeo ya o level & a level ya mmoja wa wanafunzi wa chuo hiki cha mum nikabaki najiuliza alipataje admission ya chuo kikuu? Kwa div 4, o level & a level eti alikuwa admitted?
Au lengo ni kuzalisha idadi kubwa ya muslims wenye shahada tu?
sio wahaya ni wasomi
Chuo hiki kinahuzunisha na kukondesha PITIA www.webometrics.info/en/Africa
Hivi nasikia hata ponda ni lecturer hapo MUM!
Mimi binafsi nasoma MUM chuoni pale kuna uzingatiwaji wa maadili kupita maelezo kwaiyo si kila mtu anaitajika kusoma pale ndo maana chuo kina MISSION & VISION yake ?