Tanzania economy shows bright future

Tutafika

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2009
Posts
1,443
Reaction score
635
Snapshot:
1. Overall balance of payments surplus increased by 114.78%
2. Inflation declines up to 7.6% from 17.4% recorded last financial year
3. Imports declined
4. Exports increased and maintains an upward trend since 2010
5. Current account deficit declined
6.
[h=3]TZ records Balance of payments surplus[/h]
THE overall balance of payments in the year ending June this year recorded a surplus of US$ 449.1 million (about TZS 718.56bn) compared to US$ 209.1 million (334.56) of the corresponding period in 2012...................Ingia Hapa: TZ Records Balance Of Payments Surplus » Banking finance » News « Pesatimes Business News Portal

 
mbona hiyo bright future haionekani kwenye maisha ya mtz wa kawaida?
 
We endelea kukaa vibarazani unalia lia, wenzako wanaona hiyo surplus na kuchangamkia opportunities.

Ona wenzako hawa wasiolalamika wanavyofanya The Young African Millionaire Lighting Up Tanzania - Forbes

Bado anasumbuliwa na ujamaa, muda si mrefu atajua kwamba Nape aliposema Tz ni ya kijamaa alikua anatania! Hata majumba yanayoshushwa kila mji hayaoni? hata pikipiki hazioni?, au anadhani mtu anaweza kununua pikipiki akiwa analala njaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…