Tanzania Elimu hii tunatoka kweli????

Yasser5

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2012
Posts
207
Reaction score
17
Kama silabuse za TZ zisipo hakikiwa bado mtegemee maisha kuendelea kuwa magumu lecture anafundisha masaa manne darasan anacho kifundisha hakin reality na maisha nje ya darasa mifano mingi ya ulaya aah i never go ulaya bhana am a poor Tanzanian ili twende sambamaba mifano ya kipindi itoke nchini mwangu
Nna hasira alfu nawasilisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…