Pale unapeleka vyeti vyako orijino wanakusajiri, then unaendelea na mishe zako mpaka kama wakikupigia simu...
Uzuri wa taasisi kama zile wakikuita wao wanakupiga interview wao basi unapewa kazi ila ngoma ni ngumu sana mpaka wakuite...
Nina washkaji zangu kadhaa wamepata kazi za maana sana saiv!
Ofcoz kuna kujuana sana pale ila tatizo kubwa saiv makampuni mengi yanaajiri yenyewe badala ya kutumia taasisi kama zile..
Ila haigharimu kitu, we peleka vyeti orijino tu wanakusajiri then unarudishiwa vyeti vyako wala hawachukui copy so utagharamia nauli tu....
Fanya usajiri wateme wakikuita poa, wasipokuita poa pia