Tanzania Football Federation Kati Wenzake

Kichuguu

Platinum Member
Joined
Oct 11, 2006
Posts
17,048
Reaction score
22,790

Federation of Uganda Football Associations (FUFA)




Federation Rwandaise de Football Association (FERWAFA)




The Tanzania Football Federation (TFF)




Football Association of Zambia (FAZ)



The Brazilian Football Confederation











 
Hapo unaona kabisa nani yopo serious. Ngoja tuendelee kusindikiza walio jiandaa.

Hao TFF wanachojua ni kufungia ni adhabu zao kali. Wanapata pesa za Fifa haijulikani huwa zinaishia wapi.
 
Hapo unaona kabisa nani yopo serious. Ngoja tuendelee kusindikiza walio jiandaa.

Hao TFF wanachojua ni kufungia ni adhabu zao kali. Wanapata pesa za Fifa haijulikani huwa zinaishia wapi.
Nadhani mleta mada huenda ukawa una tatizo binafsi na tff na sio hoja ya majengo

Hoja yako ya pili ya fedha za fifa ndo umejichanganya kabisa, fifa wako serious mno na hela zao, zisipojulikana matumizi yake hupati tena,

Jifunze kufuatilia kabla hujaandika
 
hapo jengo la Rwanda,Zambia wala hayajaachana na la tz,ilo la UG ndo linaendelea kujengwa ungeweka lililopo sasa.
 
hapo jengo la Rwanda,Zambia wala hayajaachana na la tz,ilo la UG ndo linaendelea kujengwa ungeweka lililopo sasa.
Majengo ya Rwanda na ya Zambia ni maghorofa na ni makubwa kuliko TFF ambayo utadhani ni ofisi ya kata. Ubora wa tasisis yoyote inayojiendesha yenyewe huanzia na mazingira yao ya kufanyia kazi; hata kwa vyam,a vya siasa.


Jengo la FUFA siyo kuwa bado linajengwa, hizo scaffolds kwenye picha ni wakati lilipokuwa linafanyiwa renovation.

 
Ofisi hazina hadhi! Zimepitwa na wakati! Nadhani hizi hela wanazotoza faini watu na baadhi ya vilabu, zingetumika kwenye kuanzisha ujenzi wa ofisi mpya na za kisasa kabisa kwa ajili ya shirikisho.

Siyo muda wote watu wanawaza kula tu.
 
Hamna kitu kama hicho fifa wenyewe siasa tupu. Fifa ukiwa nao vizuri hela yao wala hawafuatilii. Ila sasa uwakosle mbona utajuta...hela yao wataifuatilia kinoma noma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…