Tanzania Forest Service vyeo vyao vya kijeshi vinasomekaje au vinafanana na JW?

Tanzania Forest Service vyeo vyao vya kijeshi vinasomekaje au vinafanana na JW?

Mr umeme

New Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
3
Reaction score
7
Habari wakuu Mimi shida yangu kubwa umu ndani NI kutaka kujua vyeo vyao kijeshi vya watunzaji misitu au Tanzania forest service vipoje kuanzia vyeo vyao Askari mbaka maofisa maana nimeona wanatumia mbaka zile saa za mteule daraja la kwanza na la pili nawasilisha madame kwenu wakuu
 
Habari wakuu Mimi shida yangu kubwa umu ndani NI kutaka kujua vyeo vyao kijeshi vya watunzaji misitu au Tanzania forest service vipoje kuanzia vyeo vyao Askari mbaka maofisa maana nimeona wanatumia mbaka zile saa za mteule daraja la kwanza na la pili nawasilisha madame kwenu wakuu
Siti ya mbele kabisa tuwasubiri wajuvi.... Baizewei mkuu wewe ni Forester ?
 
Hao muundo wao wa jeshi ni wa tofauti na majeshi ya ulinzi na usalama.
 
Vyeo vyao ni vinafanana kama vya JWTZ ...mimi nafanya kazi ya TFS kwa mkataba naelewa vizuri
 
Back
Top Bottom