Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado akina Ntukamazina (Mb) na Marehemu Maj Jenerali Kamazima (EX - TAKUKURU Boss)!! Ni wengi tuuuu!!!Professor SILAS LWAKABAMBA ambaye ni waziri wa ujenzi wa Rwanda ni mnyarwanda wa muda mrefu ila alikaa Tanzania anakula nchi tu kama Mtamzania. ana miliki Ngombe nyingi na heka nyingi sana kAGERA AMEAJIRI WANYARWANDA TUUUUU. Kweli Tanzania shamba la bibi
Professor SILAS LWAKABAMBA ambaye ni waziri wa ujenzi wa Rwanda ni mnyarwanda wa muda mrefu ila alikaa Tanzania anakula nchi tu kama Mtamzania. ana miliki Ngombe nyingi na heka nyingi sana kAGERA AMEAJIRI WANYARWANDA TUUUUU. Kweli Tanzania shamba la bibi
Kumiliki mali nje ya nchi kuna kosa gani bwana mdogo! Kazi ni kwetu kutoza kodi na kuhakikisha taifa linafaidika. Hata kama Kagame katutukana panapohitajika kuwatetea nitafanya hivyo.Professor SILAS LWAKABAMBA ambaye ni waziri wa ujenzi wa Rwanda ni mnyarwanda wa muda mrefu ila alikaa Tanzania anakula nchi tu kama Mtamzania. ana miliki Ngombe nyingi na heka nyingi sana kAGERA AMEAJIRI WANYARWANDA TUUUUU. Kweli Tanzania shamba la bibi
Professor SILAS LWAKABAMBA ambaye ni waziri wa ujenzi wa Rwanda ni mnyarwanda wa muda mrefu ila alikaa Tanzania anakula nchi tu kama Mtamzania. ana miliki Ngombe nyingi na heka nyingi sana kAGERA AMEAJIRI WANYARWANDA TUUUUU. Kweli Tanzania shamba la bibi
ndio unajua leo....bora hao kuliko wachina....ccm oyeeeeee
jenerali ulimwengu nae vp wa huko huko?nakumbuka enzi za mkapa kulitokea issue kuhusu uraia wake.Bado akina Ntukamazina (Mb) na Marehemu Maj Jenerali Kamazima (EX - TAKUKURU Boss)!! Ni wengi tuuuu!!!
Si useme tu kama ni ndugu zako! Kumiliki kama raia halali na kumiliki kama raia bandia ni vitu viwili tofauti, lazima kuwe na consequenceKumiliki mali nje ya nchi kuna kosa gani bwana mdogo! Kazi ni kwetu kutoza kodi na kuhakikisha taifa linafaidika. Hata kama Kagame katutukana panapohitajika kuwatetea nitafanya hivyo.
Yaani wewe kweli uko gizani tena kwenye mtungi uliofunikwa na majani ya mgomba.Ubinafsi na ubaguzi huo,kwani hakuna watanzania ambao wapo rwanda,kwa nyadhifa mbalimbali?tena kuna waziri wa rwanda ni mtanzania alikuwa profesa huku tz,hakuna watz kenya,uganda,etc
angalia marekani asilimia kubwa ya matajiri ni wahamiaji sio wazawa na Obama aliadmitt na akazidi kupunguza masharti ya wageni.daima wazalendo uwa mbumbumbu wanaiamini nchi yao but wageni huwa wanakuwa na mafanikio coz wanatumia opportunity
Hata kama watuona wabaguzi maana wanatumiahili neno eti wabaguzi ili wapate jinsi ya kujitanua. Kule kwao nendo chunguza uone kama kuna watanzania wakko kwenye post ajiajiriwa tu ni majungu kwenda mbele wanasema nyamahanga mwisho wanatolewa uliza wako wapi leo hii watanzania waliokuwa wanafanya KIST wote wamerudi home baada ya kuona jinsi wanavyobaguliwa na kuknyanyaswa kisa nyamahanga. Nafikiri sasa tuanze kuwataja mmoja mmoja yuko wapi, anafanya nini na vipi anaisaidia Tanzania katika maendeleo baada ya kupewa uraia zaidi wote utakuwa ni mamluki.Professor SILAS LWAKABAMBA ambaye ni waziri wa ujenzi wa Rwanda ni mnyarwanda wa muda mrefu ila alikaa Tanzania anakula nchi tu kama Mtamzania. ana miliki Ngombe nyingi na heka nyingi sana kAGERA AMEAJIRI WANYARWANDA TUUUUU. Kweli Tanzania shamba la bibi