Tanzania gives Zimbabwe US$200,000

mmesahau nyerere aliwahi kutoa msaada wa majembe 2000 kwa serikali ya yusuf lule, na inasemekana yale majembe yaliuzwa hayakuwafikia waganda, ndo maana nyerere hkuiva na lule
 
05 Oct 2009....The US$200 000 assistance by the Tanzanian government has been availed at a time consultations for the 2010 fiscal policy framework are underway in various sectors of the economy......

Tanzania Bwana...! Bado tu hatujaacha wema wa mshumaa? ... Kuwamulikia wengine huku wenyewe tunateketea? Hivi kweli nchi hii na umaskini ilionao inathibutu kutoa msaada kwa nchi nyingine? Inashangaza kweli kweli.

Unajua mwanzoni nilihisi ni uzushi tu!, nilipogundua ni kweli nimechoka sana, sijui tutajifunza lini......Hata kipindupindu tumeshindwa kuking'oa nchini halafu tunagawa pesa. Cha ajabu ni kuwa ukitazama ki uchumi Zimbabwe wanafanya vyema kuliko sisi. Ama kweli sikiyo la kufa halisikii dawa!

Kinachoniudhi zaidi ni kuwa nimeshakutana na wazimbabwe wengi tu, wengi wao hawajui hata tanzania ipo wapi, wachache wanaoifahamu wanaikandia ile mbaya (hasa wale ambao weshafika Tanzania).

Now, where is machine gun!!!!
 
Hii kali. We are not serious!! Nani anatoa kitu ambacho hana? Ni TZ tu sio mchezo
 
Kitu kingine cha ajabu ni kuwa mbona sisi watoaji (wa Tanzania), hatukufahamishwa rasmi?...... Ninavyofahamu mimi ni kuwa hizi pesa ni zetu hivyo tuna haki ya kufahamu nani anagawiwa na kwa misingi na vigezo gani.
 
I call this Feeling Rich Syndrome. Kuna watu hawajui kumnyima mtu kitu, wao ukiwaomba wanakupa tu, hawajui kusema hapana, hata kama unachowaomba kitawa cost kwa namna fulani. Nadhani hii ndio mentality inayo operate TZ, Inasikitisha sana maana hii nchi ni maskini mmno, ni maskini kuliko majirani zetu woooote. Ni maskini kuliko Malawi, Msumbiji,Kenya, Uganda,Zambia lakini bado tu hatulioni hilo tunajishaua kwa kua na matumizi ya matanuzi kama vile ni matajiri na wakati kuna shule hazina Madawati Dar Es salaam. Pamoja na Umaskini huu Inashangaza kile kido tulichonacho baado tunawagawia watu wnegine ambao wana uchumi bora zaidi yetu.

Shaame on Tz.

Hivi tutabadilika lini jamani? Ni lini tutaweza ku set priority za nchi kuwalenga wananchi? Ni lini tutakua na uongozi makini katika nchi hii? Inasikitisha sana kwa sababu majirani zetu wooooote hata waliokua chini kuliko sisi wanatupita kama tumesimama kwa sababu hatuna viongozi hawana mpango wa dhati kwa ajili ya maendeleo ya Tanzania.

Mungu saidia Watanzania.
 
The Citizen Editor
6 October 2009


Tanzania's contribution of $200,000 (about Sh260 million) to help bail Zimbabwe out of its economic woes may not be a lot of money, but it's a good gesture to a fellow SADC member country, which should be emulated by others. This confirms that though we are poor, we keep our promises.

Such assistance should give hope to Zimbabweans that they have friends and neighbours who care. The challenge is to Zimbabwe to put the funds to good use. It is how it handles the aid coming from the SADC that will demonstrate to potential big donors its capacity and ability to manage aid.

The country, whose economy has virtually collapsed, needs all the support it can get to turn around its fortunes. However, the leaders must sort out their incessant political wrangling and rally together to revive the economy and end their people's misery.

As what was once, one of the most promising economies on the continue remains in the doldrums, we hope other SADC countries will honour their pledges in the spirit of assisting the ordinary Zimbabweans, who are the ones bearing the brunt of the hardships.
 
hii nchi bwana ina vituko viiiingi kila kukicha, watoto wetu wanakaa chini madarasani, nchi iko gizani, wanafunzi wanakosa mikopo ya elimu ya juu, hospitali hazina dawa, vijijini hakuna dispensary na wazazi wana kufa wakijifungua kwa kukosa usafiri wa kuwafikisha mahali pa usalama, what a joke? I am tired of this non sense.
 

Yaani, we acha tu! Mimi nimeshajiuliza maswali mengi sana kuhusu hii nchi nikakosa majibu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…