Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,549
Wote tunatambua kwamba ili Barabara iwe expressway au freeway highway lazima ikidhi vigezo.
Kenya wana Mombasa Expressway na Uganda wana Entebe Expressway.
Tanzania hakuna barabara yenye kiwango hicho hadi mwaka 2020.
Kimara kibaha ingeweza kuwa expressway lakini design iliyopo hai-qualify.
Tanroad mnakwama wapi?
Kenya wana Mombasa Expressway na Uganda wana Entebe Expressway.
Tanzania hakuna barabara yenye kiwango hicho hadi mwaka 2020.
Kimara kibaha ingeweza kuwa expressway lakini design iliyopo hai-qualify.
Tanroad mnakwama wapi?