Tanzania hadi 2020 haina barabara ambayo ni Expressway au Freeway

Km ni janga hebu niambie ww ...unahisi hawa ndio watainemesha hii nchi?[emoji116]...km jibu lako ni ndio basi sina mda wakupotezana mazuzu .... jua tu maush yako ni hayo mpka mwishoView attachment 1581525
CHADEMA wakiongoza serikali nao watajenga bonge la jengo kama lenu kwa kutumia kodi zetu kama nyie mnavyoziiba kila siku [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Raisi wa miundo mbinu yupo bize kuhakikisha Chato inakua Jiji kwanza.
 
CHADEMA wakiongoza serikali nao watajenga bonge la jengo kama lenu kwa kutumia kodi zetu kama nyie mnavyoziiba kila siku [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanza jua sina swala la uchama mm ....pili nilisha sema sikujib sabab ww ni zuzu ila ngoja nikupe facts chache nikuache na uzwazwa wako.....Chadema ndio chama chapili kwa kuwa na wabunge na madiwani manake wanapata ruthuku ya kutosha ,wabunge wa chadema wote wanalazimishwa kukatwa percentage flani kwenye mishara yao ya mwezi, Pia Chadema ina partiners outside wanao wapa donation year in out....unaweza niambia zimenda wapi hela zote hizi?
Wilbrod Slaa ndie kiongoz aliye pigania sn chadema toka 2010 ...unaweza niambia ilikuwaje mpka mbowe akampiga chini Slaa na tiketi akachukua mvii nyeupe? Na kwanini Slaa hakureact?
Je kama kweli chadema ni chama cha democracy unaweza niambia kwanini mbowe toka awe mwenyekiti wa chama hakuwai kutoka km M7 ?je ni kwamba chadema haina mtu bora zaidi yake miako yote hii?
Usinicort tena baki na upoyoyo wako....[emoji706]
 
Sasa hayo ya Chadema kawaulize Chadema
Mimi ACT Wazalendo
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Elimu ya Tz inawalakini sana.. labda kama darasa la pili[emoji1]
Nilicho gundua ww sio tu zuzu...ila hujui hata unacho jadili....[emoji706]....kwanza hata unaweza tofautisha express way na highway kweli ww[emoji57]
 
As expected nothing to show for just a ruthless person behind the keybord

achana naye mzee wa tabu tu maisha yake amekata tamaa.

analaumu elimu,analaumu ccm,analaumu barabara,analaumu magufuli,analaumu mpaka mawe.

mwisho analaumu mpaka baba yake.usitegemee neno labtumaini kutoka kwa mtu kama huyu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…