Tanzania haina waziri wa elimu.

venance H

Member
Joined
Jan 27, 2013
Posts
41
Reaction score
24
WAkuu nimemsikiliza Naibu waziri wa elimu mh Mulugo akiwa tbc fm kuanzia saa tatu usiku huu, ni kweli anachokiongea hakuna jipya, R.I.P jackson Makweta waziri wa elimu kipindi cha mwl hawa wengine hohehahe.
 
Alinifurahisha aliposema mitihani ya Diploma inafanyika februari, yaani ni mtu ambae hajui kitu chochote na wala hajiandai.anapoenda kwa interview kama ile, kila swali akiulizwa lzm adese. Dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…