WAkuu nimemsikiliza Naibu waziri wa elimu mh Mulugo akiwa tbc fm kuanzia saa tatu usiku huu, ni kweli anachokiongea hakuna jipya, R.I.P jackson Makweta waziri wa elimu kipindi cha mwl hawa wengine hohehahe.
Alinifurahisha aliposema mitihani ya Diploma inafanyika februari, yaani ni mtu ambae hajui kitu chochote na wala hajiandai.anapoenda kwa interview kama ile, kila swali akiulizwa lzm adese. Dah