SMART PASSENGER
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 968
- 1,022
Amna lolote mkuu tuko apatulia simba na al ahly wiki ijayo uone motooo
Well saidMpira wetu unauliwa na ushabiki wa Simba na Yanga mkubali mkatae,nyie endeleeni tu kubishana juu ya hizo timu zenu mimi mbali mbali na huo upuuzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, hujasikia tumeambiwa hata wakija Barca au Bayern hapa kwetu wanapigwa tu?Haiwezekani hata kombe dogo tu hili tunakosa
Ivi mpira wa Tanzania mbona haubadiliki miaka yote
Tunakwama wapi ?
Nani ameturoga yaani wachezaji hawana ubunifu kabisa aise ..!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mikia buana, muishindwe Bandari ndio mnadhani mtaifunga Alhaly?tulia simba na al ahly wiki ijayo uone motooo
Mchezaji anapiga mpira unabaki unajiuliza alitaka kufunga au alitaka kutoa crossukitoka kuangalia kombe la dunia af ukaja angalia simba na yanga utaona kabisa watoto wa mtaani wanacheza chandimu ( sembo)
Mpira wetu unauliwa na ushabiki wa Simba na Yanga mkubali mkatae,nyie endeleeni tu kubishana juu ya hizo timu zenu mimi mbali mbali na huo upuuzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikijaribu Google Mbao FC wanaleta Timbers FC sielewi
Hakuna moto wwte tena mjiangalie vizuri waarabu wanaweza kuwaninihii....tulia simba na al ahly wiki ijayo uone motooo