Tanzania hakuna mtu mwenye uwezo wa kununua Cybertruck za Tesla?

Uje utumie self driving kwenye hizi barabara za mwenge??


Sio kila kitu cha ku copy
 
Cybertruck ni gari ya kawaida sana, ni hype tu. Hii email nilitumiwa baada ya kufanya test drive ya Cybertruck wakataka nifanye demo drive ya model nyingine pia.
 
Hela za watu wewe upangie matumizi? Wewe nani anapangia matumizi umasikini wako?
 
Reactions: EEX
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…