joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
hahahahaha, hiyo bigger airport terminal haijaanza kazi rasmi, acha kuweweseka, subiri tukianza kuitumia rasmi ndio uweze kusema, kama ambavyo tumefungua reli ya Dar - Kampala rasmi, matokeo yake ndio haya.Yeah. Just like you built a bigger airport terminal and now 10 million passengers will come.
All the offices, all the brokers, all the systems, all the money is in Mombasa.
Auctions are held in a centralized location, not fragmented all over. Even Tanzanian tea traders (leave alone Rwanda) will have to come to Mombasa to sell their tea internationally.
Lamba lolo
Video, Twitter na picha za yellow jackets kando ya mchanga na matinga tushazoea, tunataka data sio maneno.Dalili ya mvua ni mawingu, anzeni kujiandaa "The rain is nearby"
Video, Twitter na picha za yellow jackets kando ya mchanga na matinga tushazoea, tunataka data sio maneno.Dalili ya mvua ni mawingu, anzeni kujiandaa "The rain is nearby"
Tunazungumzia kukamata mizigo ya Uganda na South Sudan, mambo yanakwenda vizuri sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kweli baboon IQ SI ya geza ulole peke yake...tumia akili bro. Hebu tupatie data ya TEU za Dar Port mwaka huu tulinganishe na Mombasa.
South Sudan mshapekeka Tani ngapi(with data) sio kupanua mdomo...How many containers ukizingatia kutumia ushahidi sio bakuli.Tunazungumzia kukamata mizigo ya Uganda na South Sudan, mambo yanakwenda vizuri sana
Hapo huyo meneja wa WFP ameshakupa data, au unahitaji data za waliokufa kwa njaa kule Turkana na Samburu?Video, Twitter na picha za yellow jackets kando ya mchanga na matinga tushazoea, tunataka data sio maneno.
Acha ujinga wewe, nimekuonyesha hapo maandalizi ya kuchukua mzigo wa South Sudan, sasa wewe unaniambia tumechukua kiasi gani, mbona akili zako zimejaa kinyesi kiasi hicho?.South Sudan mshapekeka Tani ngapi(with data) sio kupanua mdomo...How many containers ukizingatia kutumia ushahidi sio bakuli.
Maandalizi yenu tumezoea SI hata ATCL mlifanya maandalizi Kisha mnaishia kuangukia pua...by the way mlinunulia ATCL betri? Na Mumbai mnaenda lini na mlituambia Mwezi wa Mei mnatua huko? πAcha ujinga wewe, nimekuonyesha hapo maandalizi ya kuchukua mzigo wa South Sudan, sasa wewe unaniambia tumechukua kiasi gani, mbona akili zako zimejaa kinyesi kiasi hicho?.
Huo mzigo wa WFP karibu wote una kwenda kuhudumia watu wa South Sudan, sasa unataka nikuambie nini zaidi ya hiyo clip inavyojieleza?
Na bado si 100% ni 85% and could be even less ukizingatia Tz ni wapikaji wa takwimu.Hahaha mizigo 100% ya Rwanda ni sawa na ya kiambu county,,,na wanaume wanajisifu na tuichi tudogo,
Tanzania sio failed state kama ninyi, hatuwezi kushindwa mradi tuliounzisha chini ya Magufuli, ninyi mumeshindwa kuendesha KQ, SGR, Galana kulalu, na Green field terminal.Maandalizi yenu tumezoea SI hata ATCL mlifanya maandalizi Kisha mnaishia kuangukia pua...by the way mlinunulia ATCL betri? Na Mumbai mnaenda lini na mlituambia Mwezi wa Mei mnatua huko? [emoji16]
Vipi kuhusu mzigo wa South Sudan?. Ujinga wenu ndio unaowasababishia kushindwa kujitegemea na kukopa kila kitu, hadi wakopeshaji wamewachoka wameanza kuwakimbia, katika biashara huwezi kudharau mteja yeyote.Hahaha mizigo 100% ya Rwanda ni sawa na ya kiambu county,,,na wanaume wanajisifu na tuichi tudogo,
Kwani Ug mnawapatia mizigo yao asilimi mia?Kweli hamuna aibu kwa mlivyo mivivu, hivi nini kimebadilika hapa, nini kipya, Rwanda ni kamkoa kenu, hata hatupo nao kwenye mpaka nao, siku zote mizigo yao wamekua wakitegemea bandari yenu kwa asilimia kubwa, ni aibu sana eti bado kunao hukatiza kutoka Rwanda hadi Mombasa.
Ni kama itokee Sudan Kusini waje kutumia bandari ya Dar, hiyo siku sijui nitajificha wapi, kwa aibu.
Sasa hiyo 100Hapo huyo meneja wa WFP ameshakupa data, au unahitaji data za waliokufa kwa njaa kule Turkana na Samburu?
1)85% ya Mzigo wa Rwanda
2) 20% ya Mzigo wa Uganda
3) 100% ya mzigo wa WFP
Hahahahaha
Nimekuuliza Mumbai mnafika lini? mlitupanulia bakuli mwezi wa Mei mnatua huko.Tanzania sio failed state kama ninyi, hatuwezi kushindwa mradi tuliounzisha chini ya Magufuli, ninyi mumeshindwa kuendesha KQ, SGR, Galana kulalu, na Green field terminal.
ATCL ni miongoni mwa mashirika ya ndege machache sana yanayoendeshwa kwa ufanisi mkubwa Sana hapa Afrika, soma kwa makini hii habari ujionee hali ilivyo ATCL.
Magufuli Hoyeeeeeeee
Baboon IQ Uganda ni mlango wa kuingia DRC.Vipi kuhusu mzigo wa South Sudan?. Ujinga wenu ndio unaowasababishia kushindwa kujitegemea na kukopa kila kitu, hadi wakopeshaji wamewachoka wameanza kuwakimbia, katika biashara huwezi kudharau mteja yeyote.
Kumbuka Rwanda ni mlango wa kuingilia DRC, Uganda ni mlango wa kuingilia SS, wenye akili ndio tunamtazamo huo.
Nani asome gazzeti la sisiem Una kichaa wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tanzania sio failed state kama ninyi, hatuwezi kushindwa mradi tuliounzisha chini ya Magufuli, ninyi mumeshindwa kuendesha KQ, SGR, Galana kulalu, na Green field terminal.
ATCL ni miongoni mwa mashirika ya ndege machache sana yanayoendeshwa kwa ufanisi mkubwa Sana hapa Afrika, soma kwa makini hii habari ujionee hali ilivyo ATCL.
Magufuli Hoyeeeeeeee
Tena la mwaka Jana.Nani asome gazzeti la sisiem Una kichaa wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ug imepakana na Tanzania na Kenya hapa biashara inafaa kua 50/50 lakini Rwanda ambayo ni kama mkoa wa Tanzania iweje hawatumii bandari lenyu [emoji817]?uvivu wa sisiem[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwani Ug mnawapatia mizigo yao asilimi mia?
Aibu yenu pia
Haya, south sudan share a border with you, lkn wapo radhi wachukulie dsm ipite Ug hadi kwao.Does Kenya share a border with Rwanda? Uganda shares mipaka with Kenya and Tanzagiza.
Mbona unatumia kichwa Kama kabati ya meno?? Tumia akili man wacha kuwa na IQ ya baboon.
Ug imepakana na ziwa victoria. Haya, What about south sudanUg imepakana na Tanzania na Kenya hapa biashara inafaa kua 50/50 lakini Rwanda ambayo ni kama mkoa wa Tanzania iweje hawatumii bandari lenyu [emoji817]?uvivu wa sisiem[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]