Tanzania hata akija kutawala malaika bado kelele zitakuepo tu

Tanzania hata akija kutawala malaika bado kelele zitakuepo tu

Kibosho1

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2017
Posts
2,621
Reaction score
4,293
Kuna watu tayari wana imani kubwa juu ya awamu ya 6, lakini tujiulize je anatumia katiba ipi? Ile ile au amekuja na yake? Basi kaa ukijua mabadiliko ni machache sana.

Binafsi nachokiona kwa Samia ni ubinadamu, utu na usawa, kikanda, kieneo na kidini, haya mambo tuliyakosa sana kwa mtangulizi wake. Ujeuri, ukaidi, sifa, mihemko, uvunjifu wa sheria iliwachosha sana watanzania wengi.

Akija malaika mf. Gabriel akitawala kwa katiba hii wapo watakosema mbona katoka mbinguni sio mtanzania huyu, wengine watahiji mpaka jina ilimradi tu basi.

Bila katiba mpya mambo ni yale yale.
 
Watanzia ni watu wa chuki by nature. Saiv kinakigogo na wenzake wameishaanza kuhamisha chuki zao na kuanza kumtukana Mama. Kweli hata angekuja Malaika angetukanwa tu
 
Amini hivyo,pia mfumo wetu pia,unafanya watu walalamike
Watanzia ni watu wa chuki by nature. Saiv kinakigogo na wenzake wameishaanza kuhamisha chuki zao na kuanza kumtukana Mama. Kweli hata angekuja Malaika angetukanwa tu
 
Kuna watu tayari wana imani kubwa juu ya awamu ya 6, lakini tujiulize je anatumia katiba ipi? Ile ile au amekuja na yake? Basi kaa ukijua mabadiliko ni machache sana.

Binafsi nachokiona kwa Samia ni ubinadamu,utu na usawa,kikanda,kieneo na kidini,haya mambo tuliyakosa sana kwa mtangulizi wake. Ujeuri,ukaidi, sifa,mihemko, uvunjifu wa sheria iliwachosha sana watanzania wengi.

Akija malaika mf. Gabriel akitawala kwa katiba hii wapo watakosema mbona katoka mbinguni sio mtanzania huyu, wengine watahiji mpaka jina ilimradi tu basi.

Bila katiba mpya mambo ni yale yale.
Kiongozi wa dini tu, analaumiwa na waumini wake, sembuse wa kisiasa tena rais??tatizo la bwana yule UKATILI, ulipita kiwango cha uongozi, kwa kisingizio cha uzalendo!!yaani raia anakutana na tukio la uonevu hata kupiteza maisha lakini husikii kauli yoyote ile toka kwa kiongozi, mkuu!!sana sana vitaanza vijembe tu, na hili lilipelekea wasimamizi wa sheria kujiona wako juu ya sheria, na jambo kuingizwa mambo ya siasa ili kulipotezeaa!!!
 
Kuna watu tayari wana imani kubwa juu ya awamu ya 6, lakini tujiulize je anatumia katiba ipi? Ile ile au amekuja na yake? Basi kaa ukijua mabadiliko ni machache sana.

Binafsi nachokiona kwa Samia ni ubinadamu,utu na usawa,kikanda,kieneo na kidini,haya mambo tuliyakosa sana kwa mtangulizi wake. Ujeuri,ukaidi, sifa,mihemko, uvunjifu wa sheria iliwachosha sana watanzania wengi.

Akija malaika mf. Gabriel akitawala kwa katiba hii wapo watakosema mbona katoka mbinguni sio mtanzania huyu, wengine watahiji mpaka jina ilimradi tu basi.

Bila katiba mpya mambo ni yale yale.
Ndio maana hata Mungu hajitokezi kwa wote bali wachache wamchae ... Hata Mungu alilikataaa hilo ...
 
Kiongozi wa dini tu, analaumiwa na waumini wake, sembuse wa kisiasa tena rais??tatizo la bwana yule UKATILI, ulipita kiwango cha uongozi, kwa kisingizio cha uzalendo!!yaani raia anakutana na tukio la uonevu hata kupiteza maisha lakini husikii kauli yoyote ile toka kwa kiongozi, mkuu!!sana sana vitaanza vijembe tu, na hili lilipelekea wasimamizi wa sheria kujiona wako juu ya sheria, na jambo kuingizwa mambo ya siasa ili kulipotezeaa!!!
Kweli kabisa,umenukumbusha hata US au SA ambapo ni kimbilio la vijana wengi kuna wakosoaji pia
 
Back
Top Bottom