Tanzania hatujui kuwaenzi Watu waliofanya mazuri na makubwa kwa Nchi yetu

Tanzania hatujui kuwaenzi Watu waliofanya mazuri na makubwa kwa Nchi yetu

P J O

Senior Member
Joined
May 3, 2024
Posts
189
Reaction score
264
Katika historia ya nchi yetu, kumejawa na watu mbali mbali waliotikisa vyombo vya habari Kwa kufanya mambo makubwa Kwa ajili ya nchi yetu katika nyanja mbalimbali ikiwemo wapigania uhuru, wanamichezo, wavumbuzi na kadhalika.

Katika global stage, wenzetu Wana national archives inayoweka record ya matukio Yao na matukio ya watu mbalimbali na hata kwenda mbali na kua na tovuti zinazowaelezea watu hao walifanya Nini hivyo wanatambulika kimataifa Kwa Yale waliofanya.

Hii inasabishwa zaidi na ubovu wa mfumo wetu wa elimu hasa katika historia, tunatuma muda mwingi darasani kusoma lakini coverage ya usomaji wa historia yetu ni ndogo sana na hauko up to date.

Historia ya Magufuli, Mwinyi, Salim Salim, Mwanariadha Filbert Beyi, Bibi Mongela, John Malechela, wapiganaji wa vita vya Uganda na wengine wengi hawajawa honored vizuri ipasavyo na huenda wangekua wanatunzwa vizuri zaidi kama taifa lingekua lina tunza historia vizuri na kuwathamini watu waliofanya mambo makubwa Kwa nchi yetu.
 
Kama inatakiwa wawe honored zaidi ya hivi navyoona basi kazi ipo maana kama Bayi masuala ya Olympic daily yupo yeye.
Hao kina magufuli wana majina Kila kona Nyerere ndio usiseme
 
Katika historia ya nchi yetu, kumejawa na watu mbali mbali waliotikisa vyombo vya habari Kwa kufanya mambo makubwa Kwa ajili ya nchi yetu katika nyanja mbalimbali ikiwemo wapigania uhuru, wanamichezo, wavumbuzi na kadhalika.

Katika global stage, wenzetu Wana national archives inayoweka record ya matukio Yao na matukio ya watu mbalimbali na hata kwenda mbali na kua na tovuti zinazowaelezea watu hao walifanya Nini hivyo wanatambulika kimataifa Kwa Yale waliofanya.

Hii inasabishwa zaidi na ubovu wa mfumo wetu wa elimu hasa katika historia, tunatuma muda mwingi darasani kusoma lakini coverage ya usomaji wa historia yetu ni ndogo sana na hauko up to date.

Historia ya Magufuli, Mwinyi, Salim Salim, Mwanariadha Filbert Beyi, Bibi Mongela, John Malechela, wapiganaji wa vita vya Uganda na wengine wengi hawajawa honored vizuri ipasavyo na huenda wangeku BANAE ata waweze kuweka statue ili wawe honoured.
 
Kama inatakiwa wawe honored zaidi ya hivi navyoona basi kazi ipo maana kama Bayi masuala ya Olympic daily yupo yeye.
Hao kina magufuli wana majina Kila kona Nyerere ndio usiseme
Ni viongozi Wachache sana walio honered na nikikuulixa wewe kama ni Gen Z, kwenye vitabu vya historia Kuna yoyote hapo ulishakuta jina lake kwenye vitabu vya historia tofauti na historia inayoishia 1985?
 
Katika historia ya nchi yetu, kumejawa na watu mbali mbali waliotikisa vyombo vya habari Kwa kufanya mambo makubwa Kwa ajili ya nchi yetu katika nyanja mbalimbali ikiwemo wapigania uhuru, wanamichezo, wavumbuzi na kadhalika.

Katika global stage, wenzetu Wana national archives inayoweka record ya matukio Yao na matukio ya watu mbalimbali na hata kwenda mbali na kua na tovuti zinazowaelezea watu hao walifanya Nini hivyo wanatambulika kimataifa Kwa Yale waliofanya.

Hii inasabishwa zaidi na ubovu wa mfumo wetu wa elimu hasa katika historia, tunatuma muda mwingi darasani kusoma lakini coverage ya usomaji wa historia yetu ni ndogo sana na hauko up to date.

Historia ya Magufuli, Mwinyi, Salim Salim, Mwanariadha Filbert Beyi, Bibi Mongela, John Malechela, wapiganaji wa vita vya Uganda na wengine wengi hawajawa honored vizuri ipasavyo na huenda wangekua wanatunzwa vizuri zaidi kama taifa lingekua lina tunza historia vizuri na kuwathamini watu waliofanya mambo makubwa Kwa nchi yetu.
Unataja watu wasio na sifa dogo!

Magufuli kaifanyia Nini nchi hii zaidi ya madeni? Na hasara kubwa?
 
Unataja watu wasio na sifa dogo!

Magufuli kaifanyia Nini nchi hii zaidi ya madeni? Na hasara kubwa?
Kwa kweli kwenye nchi hii Kuna watu wapo uraini ila Wana psychological issues.

Yale madaraja, mahospital, ndege, Stand za mabasi, Treni ya umeme, Barabara, Bandari, airport Tanzania nzima, Dodoma na majengo ya serikali, masoko hauoni alichofanya Mh. Magufuli.

Kama hauoni basi wewe unahitaji serious psychological check up. 😄
 
Katika historia ya nchi yetu, kumejawa na watu mbali mbali waliotikisa vyombo vya habari Kwa kufanya mambo makubwa Kwa ajili ya nchi yetu katika nyanja mbalimbali ikiwemo wapigania uhuru, wanamichezo, wavumbuzi na kadhalika.

Katika global stage, wenzetu Wana national archives inayoweka record ya matukio Yao na matukio ya watu mbalimbali na hata kwenda mbali na kua na tovuti zinazowaelezea watu hao walifanya Nini hivyo wanatambulika kimataifa Kwa Yale waliofanya.

Hii inasabishwa zaidi na ubovu wa mfumo wetu wa elimu hasa katika historia, tunatuma muda mwingi darasani kusoma lakini coverage ya usomaji wa historia yetu ni ndogo sana na hauko up to date.

Historia ya Magufuli, Mwinyi, Salim Salim, Mwanariadha Filbert Beyi, Bibi Mongela, John Malechela, wapiganaji wa vita vya Uganda na wengine wengi hawajawa honored vizuri ipasavyo na huenda wangekua wanatunzwa vizuri zaidi kama taifa lingekua lina tunza historia vizuri na kuwathamini watu waliofanya mambo makubwa Kwa nchi yetu.
Wapi alipo Azor na Been Saanane? Hivi ndugu zao wakisoma huu uzi kuwa unataka jiwe awe honored kwa aliyoyatenda unadhani watakufikiriaje. Punguza ujinga kichwani
 
Kwa kweli kwenye nchi hii Kuna watu wapo uraini ila Wana psychological issues.

Yale madaraja, mahospital, ndege, Stand za mabasi, Treni ya umeme, Barabara, Bandari, airport Tanzania nzima, Dodoma na majengo ya serikali, masoko hauoni alichofanya Mh. Magufuli.

Kama hauoni basi wewe unahitaji serious psychological check up. 😄
Kweli mpumbavu hajijui ila anaona wengine ndiyo wapumbavu. Utakuwa ni mmoja wa wale mnao jiita wanyonge. Pathetic
 
Wapi alipo Azor na Been Saanane? Hivi ndugu zao wakisoma huu uzi kuwa unataka jiwe awe honored kwa aliyoyatenda unadhani watakufikiriaje. Punguza ujinga kichwani
Lisu risasi zote mchana keeupe je?
 
Kwani Hitler yupo kwenye vitabu vya historia?

Kwani tunaangalia waliofanya mabaya tu, hata waliofanya MAZURI ni muhimu kuwaweka kwenye vitabu.

Ujinga upo Kwa anaeogopa knowledge na ni dhahiri umekuja kichwani. Watoto wetu watasoma Nini kama Kuna watu Wana mentality kama zako?
 
Lisu risasi zote mchana keeupe je?
Kwa iyo una maanisha tuchambue kumbukumbu za kuweka kwenye vitabu vya historia?

Historia haichagui Nini Cha kumbuka, umuhimu ni kua informed na kujifunza.
 
Kweli mpumbavu hajijui ila anaona wengine ndiyo wapumbavu. Utakuwa ni mmoja wa wale mnao jiita wanyonge. Pathetic
I wonder what buzzing bee is crawling up your small brain. Heri kondoo anaekumbuka njia aliotoka kuliko mtu asiejielewa atokako na aendako. Magufuli will always be in the hearts of youths, chukia uchiakivyo but the truth will remain Truth.
 
I wonder what buzzing bee is crawling up your small brain. Heri kondoo anaekumbuka njia aliotoka kuliko mtu asiejielewa atokako na aendako. Magufuli will always be in the hearts of youths, chukia uchiakivyo but the truth will remain Truth.
As you said, he will always be in the hearts of youths who they call themselves wanyonge kama wewe
 
Back
Top Bottom