Uchaguzi 2020 Tanzania hatukuwa na uchaguzi mkuu 2020

Uchaguzi 2020 Tanzania hatukuwa na uchaguzi mkuu 2020

Matulanya Mputa

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2023
Posts
245
Reaction score
655
Wataalamu wa Sheria mtusaidie kwakuwa uchaguzi 2020 haukuwa uchaguzi kulingana na maelezo ya Marko Henry Ng'umbi na Nape etc kuwa serikali ndiyo ilipanga. Je, kuna uhalali wa kuwa na Serikali hii kwakuwa viongozi waliopo walirithi na walitokana na uchaguzi wa 2020?

Pia wabunge, madiwani ni batili?

Kama ni batili wanasheria fungueni kesi mahakama itoe uamuzi kuwa 2020 katiba ilivunjwa na Tanzania bara haikuwa na uchaguzi.
 
Wataalamu wa sheria mtusaidie kwakua uchaguzi 2020 haukuwa uchaguzi kulingana na maelezo ya DC wa Longido vs Nape etc kuwa serikali ndiyo ilipanga je kuna uhalali wa kuwa na serikali hii?
Kwakua viongozi waliopo walirithi na walitokana na uchaguzi wa 2020.
Pia wabunge, madiwani ni batili?
Kama ni batili wanasheria fungueni kesi mahakama itoe uamuzi kuwa 2020 katiba ilivunjwa na Tanzania bara haikuwa na uchaguzi.
kuna watu mko nyuma mno nnji hii dah🐒
 
Wataalamu wa Sheria mtusaidie kwakuwa uchaguzi 2020 haukuwa uchaguzi kulingana na maelezo ya Marko Henry Ng'umbi na Nape etc kuwa serikali ndiyo ilipanga. Je, kuna uhalali wa kuwa na Serikali hii kwakuwa viongozi waliopo walirithi na walitokana na uchaguzi wa 2020?

Pia wabunge, madiwani ni batili?

Kama ni batili wanasheria fungueni kesi mahakama itoe uamuzi kuwa 2020 katiba ilivunjwa na Tanzania bara haikuwa na uchaguzi.
2020 kulikuwa na uchafuzi uliopitiliza. MUNGU akaamua ugomvi!

SOMA HAPO👇🏿👇🏿

 
Wataalamu wa Sheria mtusaidie kwakuwa uchaguzi 2020 haukuwa uchaguzi kulingana na maelezo ya Marko Henry Ng'umbi na Nape etc kuwa serikali ndiyo ilipanga. Je, kuna uhalali wa kuwa na Serikali hii kwakuwa viongozi waliopo walirithi na walitokana na uchaguzi wa 2020?

Pia wabunge, madiwani ni batili?

Kama ni batili wanasheria fungueni kesi mahakama itoe uamuzi kuwa 2020 katiba ilivunjwa na Tanzania bara haikuwa na uchaguzi.
Serikali iliyopo madarakani ni haramu, na kwa maelezo ya DC mtumbuliwa ni kuwa hadi sasa maandalizi ya uchafuzi mwingine 2024 na 2025 tayari yamekamilika ikimaanisha kuwa tunakwenda kuwa na serikali haramu nyingine 2025. Maoni yangu ni kuwa badala ya kutumia mamia ya mabilioni ya kodi zetu kwa maigizo ya kile kinachoitwa uchaguzi usiwepo uchaguzi tena CCM indelee kutawala kimabavu na hizo hela zilekezwe kwenye huduma za afya na elimu.
 
Ukiangalia vizuri huu Utawala sio Legit sote tulikuwepo na tunakumbuka UCHAFUZI ule sio wa KUHADITHIWA.
 
Kwanini umefika hitimisho Kwa kutumia watu wajinga wajinga kama nape', Kwamba watu 2 out 60M ndo wanaamua uhalali au uharamu wa uchaguzi!?
Kwamba wapiga kura walikuwa 60m? Wapiga kura hawakufika 15m, na bado idadi hiyo ilipikwa.
 
Wataalamu wa Sheria mtusaidie kwakuwa uchaguzi 2020 haukuwa uchaguzi kulingana na maelezo ya Marko Henry Ng'umbi na Nape etc kuwa serikali ndiyo ilipanga. Je, kuna uhalali wa kuwa na Serikali hii kwakuwa viongozi waliopo walirithi na walitokana na uchaguzi wa 2020?

Pia wabunge, madiwani ni batili?

Kama ni batili wanasheria fungueni kesi mahakama itoe uamuzi kuwa 2020 katiba ilivunjwa na Tanzania bara haikuwa na uchaguzi.
Uchaguzi kwa level ya Trump ulifanyika.
Wagombea viti serikali za mitaa kwa level ya Kim wa Korea Kaskazini ulifana.
Uchaguzi wa Bunge na Raisi tulijiandikisha kupiga kura tukaenda kwenye vituo,tukachagua wale tuliokuwa tunataka,tukasubiri matokeo tukiwa manyumbani kwetu.
 
Wataalamu wa Sheria mtusaidie kwakuwa uchaguzi 2020 haukuwa uchaguzi kulingana na maelezo ya Marko Henry Ng'umbi na Nape etc kuwa serikali ndiyo ilipanga. Je, kuna uhalali wa kuwa na Serikali hii kwakuwa viongozi waliopo walirithi na walitokana na uchaguzi wa 2020?

Pia wabunge, madiwani ni batili?

Kama ni batili wanasheria fungueni kesi mahakama itoe uamuzi kuwa 2020 katiba ilivunjwa na Tanzania bara haikuwa na uchaguzi.
NAPE NA MKUU WA WILAYA WAMEZINGUA SANA AISEE.SIJUI WALIKUWA WAMEVUTA AINA GANI YA ILE KITU.
 
2020 ndio wakati ambapo Demokrasia ya Tanzania ilishuka kwa kuelekea uelekeo hasi. Kikwete pamoja na kusemwa sana na wapinzani kwa kuendesha gari hovyo hovyo lakini aliacha Demokrasia ikuwe.
 
Wataalamu wa Sheria mtusaidie kwakuwa uchaguzi 2020 haukuwa uchaguzi kulingana na maelezo ya Marko Henry Ng'umbi na Nape etc kuwa serikali ndiyo ilipanga. Je, kuna uhalali wa kuwa na Serikali hii kwakuwa viongozi waliopo walirithi na walitokana na uchaguzi wa 2020?

Pia wabunge, madiwani ni batili?

Kama ni batili wanasheria fungueni kesi mahakama itoe uamuzi kuwa 2020 katiba ilivunjwa na Tanzania bara haikuwa na uchaguzi.
Ni mahakama ipi ipo huru kwa kesi hiyo? Hadi sasa hakuna kumbukumbu ya kura za Urais wa uchaguzi huo lakini hamna tatizo lolote na nchi inasonga mbele kimaendeleo.
 
Ni mahakama ipi ipo huru kwa kesi hiyo? Hadi sasa hakuna kumbukumbu ya kura za Urais wa uchaguzi huo lakini hamna tatizo lolote na nchi inasonga mbele kimaendeleo.
Maendeleo gani? Labda wewe na familia yako
 
Back
Top Bottom