Tanzania hatuna Wanahabari bali tunao tu Waandishi/ Watangazaji wa Habari zilizokamilika ndio sababu ni rahisi sana kuwadhibiti

Tanzania hatuna Wanahabari bali tunao tu Waandishi/ Watangazaji wa Habari zilizokamilika ndio sababu ni rahisi sana kuwadhibiti

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Ninakumbuka enzi za chama kimoja palikuwepo Gazeti la Jumuiya ya Wafanyakazi likiitwa Mfanyakazi.

Niseme lile Gazeti lilikuwa Huru sana katika kutuhabarisha na hapajatokea tena Gazeti kama lile.

Kwa sasa Vyombo Vyote vinatoa Habari za kupelekewa Ndio sababu Vichwa vya habari kwenye magazeti Yote hufanana.

Kwa sasa hakuna Mwandishi au Chombo cha habari kinachotafuta habari Wote wanasubiri maelekezo ya Watawala na Wanasiasa.

Mungu Ibariki JF.

Jumaa kareem!
 
Ninakumbuka enzi za Chama kimoja palikuwepo e Gazeti la Jumuiya ya Wafanyakazi likiitwa Mfanyakazi

Niseme lile Gazeti lilikuwa Huru sana katika kutuhabarisha na hapajatokea tena Gazeti kama lile

Kwa sasa Vyombo Vyote vinatoa Habari za kupelekewa Ndio sababu Vichwa vya habari kwenye magazeti Yote hufanana

Kwa sasa hakuna Mwandishi au Chombo cha habari kinachotafuta habari Wote wanasubiri maelekezo ya Watawala na Wanasiasa

Mungu Ibariki JF

Jumaa kareem!
CCM yako niyo imetufikisha hapa, halafu washenzi wako hawataki katiba mpya. Mwaka huu lazima ushungi ayanywe
 
Zama hizi Mwandishi anatoa Habari ya uhakika kabisa mfano Waraka wa TEC halafu baada ya Nusu Saa anaufuta na kuukana kabisa kwamba haujui 😂😂🌟
Kwa kweli umesema jambo la kutafakarisha sana. Inakuwaje vichwa vya habari vya magazeti vifanane kama siyo habari za kupewa Kwa maelekezo?
 
Ninakumbuka enzi za Chama kimoja palikuwepo e Gazeti la Jumuiya ya Wafanyakazi likiitwa Mfanyakazi

Niseme lile Gazeti lilikuwa Huru sana katika kutuhabarisha na hapajatokea tena Gazeti kama lile

Kwa sasa Vyombo Vyote vinatoa Habari za kupelekewa Ndio sababu Vichwa vya habari kwenye magazeti Yote hufanana

Kwa sasa hakuna Mwandishi au Chombo cha habari kinachotafuta habari Wote wanasubiri maelekezo ya Watawala na Wanasiasa

Mungu Ibariki JF

Jumaa kareem!
Kwa ujumla kizazi cha waandishi habari mahiri katika nchi hii kiliondoka na waandishi nguli kina
Johnson Mbwambo
Jenerali Ulimwengu
John Rutayisingwa
Chessi Mpilipili
Kuna yule aliyeandika Loliondo gate nimemsahau jina.
Na pia aliyeibua kashfa ya mchele mbovu wa Azam miaka hiyo.

Hawa wa sasa ni wafukuzia bahasha tupu...
Imagine kwamba wanapokea bahasha za DP-WORLD na kukubali kutouchapisha waraka wa maaskofu uliosheheni maslahi mapana ya kitaifa na kizalendo.
 
Ninakumbuka enzi za Chama kimoja palikuwepo e Gazeti la Jumuiya ya Wafanyakazi likiitwa Mfanyakazi
Ni kweli lilikuwa ni an independent media Media kuikosoa Serikali: Je, Tanzania tuna Strong Media au Strong Journalists wenye Uwezo huo?

Niseme lile Gazeti lilikuwa Huru sana katika kutuhabarisha na hapajatokea tena Gazeti kama lile
Nikweli ila yalitokea mengine, Mtanzania, Rai, Mwanahalisi, etc
Kwa sasa Vyombo Vyote vinatoa Habari za kupelekewa Ndio sababu Vichwa vya habari kwenye magazeti Yote hufanana
Ni kweli na si kweli, sometimes vichwa vya habari vinafanana kwa coincidences only
Kwa sasa hakuna Mwandishi au Chombo cha habari kinachotafuta habari Wote wanasubiri maelekezo ya Watawala na Wanasiasa
Sii kweli na sii wote!, mfano mzuri ni mimi mwenyewe, natafuta habari mwenyewe na sio za kuletewa!.
Mungu Ibariki JF

Jumaa kareem!
Mungu ibariki JF

P
 
Tatizo hawafanyi tafiti, wakiitwa akili zote zinawaza bahasha itakuwa na kiasi gani na siyo anaenda kuandika habari gani?
 
Back
Top Bottom