Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Ni uwendawazimu wa kiwango cha juu mnoo kwa taifa la Tanzania lenye umri wa zaidi ya miaka 60, watu zaidi ya milioni 60, wasomi wa chuo kikuu karibu au zaidi ya milioni moja kuendelea kukumbatia, kushabikia, kufurahia magenge ya wahuni, wavivu, wajinga, malaya, wavuta bangi, walevi waliojivika/kuvikwa majina ya Chawa, Wadudu, Covid 19 nk.
Kama taifa huko ni kukosa mwelekeo na kuangamia. Kupitia JF ninatoa onyo na wito wa haraka kwa jamii kufifisha na kufuta harakati zote za hayo magenge. Tusicheke nayo kabisa.
Kama taifa huko ni kukosa mwelekeo na kuangamia. Kupitia JF ninatoa onyo na wito wa haraka kwa jamii kufifisha na kufuta harakati zote za hayo magenge. Tusicheke nayo kabisa.