KIBAKI GENIOUS
Member
- Jan 29, 2020
- 36
- 35
Bora angetaja jina zao halisi, dala dala. Hazina hadhi ya kuitwa matatu hizi gari za kisafirishia mifugo. [emoji1]Shika adabu yako, tz hakuna matatu
Jina matatu ni zaidi ya magari ya usafiri wa umma jombaa, ni sanaa.Embu weka zenu tuzione[emoji848][emoji848]
Jina matatu ni zaidi ya magari ya usafiri wa umma jombaa, ni sanaa.
Hakuna cha kubandika hapo, hiyo ni sanaa ya graffiti, permanent spray paint. Hizo sio zile sticker za daladala eti, "Jino moja mswaki wa nini?" [emoji1] Rangi tu hapo, achia mbali customized rims na interior, screens na system za mziki inawagharimu karibia laki tano, KES, sio hela za madafu. Yote hayo ni kwa manufaa ya 'comfort' na starehe za wateja wao.Mmmh bado mna ushamba wa kubandika marangi rangi na mapicha
Hizi ni zile za zamani sana nadhani. But kuna zingine zinakuja Mombasa daily, very old models, zimechoka sana, but Tz wako na good buses pia. Macapolo
Kwa hiyo lina dabo difu mbele au?Jina matatu ni zaidi ya magari ya usafiri wa umma jombaa, ni sanaa.
Hakuna cha kubandika hapo, hiyo ni sanaa ya graffiti, permanent spray paint. Hizo sio zile sticker za daladala eti, "Jino moja mswaki wa nini?" [emoji1] Rangi tu hapo, achia mbali customized rims na interior, screens na system za mziki inawagharimu karibia laki tano, KES, sio hela za madafu. Yote hayo ni kwa manufaa ya 'comfort' na starehe za wateja wao.
Google ni rafiki yako ndio shida ya kutotembea kana kwamba unaamka unajikuta bado upo kibera
Basi lina marangi rangi kama Khanga za kina Mama?Jina matatu ni zaidi ya magari ya usafiri wa umma jombaa, ni sanaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Basi lina marangi rangi kama Khanga za kina Mama?
Jina matatu ni zaidi ya magari ya usafiri wa umma jombaa, ni sanaa.
Hizi si matatu hizi ni matano (daladala)