Tanzania home to one of the top 10 universities in Africa

Hapa ndo Busta Rhymes anakwambia "let me check your criteria"...
 
Nyingi kati ya best universities zimetoka nchi gani? SA or Egypt?
 
Kama UDSM ni chuo cha kumi kwa ubora Afrika, naanza kuelewa kwa nini maendeleo hayafiki bara hili


Ni kweli na Kikwete ni zao la pale tena kipindi kile hata chuo kilikuwa hakijulikani duniani kutokana na ufinyu wake.
 
Inategemeana ni vigezo gani vimetumika. Tusiwe wabishi for the sake of it. Nimesoma hapo pia. Nimesoma pia vyuo vingine lakini bado UDSM ni chuo mojawapo kizuri kabisa Africa.
 
JE haya matokeo yangetolewa na Redet??

Ndo maana nawaheshimu wanigeria, family matters kwanza.
 
Shame on you mleta maada. Badala ya kuchokoza maada khs changamoto za kitaifa ili wanazuoni kwa pa1 tuchangie,unaleta pumba ka hizi!iv ndg kwa tz ya leo, weledi wa m2 umapimwa kwa chuo alichosoma2!!
 
I have only been there once for a conference, the fellows impressed me.
Sas upande wa education yenyewe na researches hapo siwezi kusema.
But walio andika hii report watakua wamechunguza sana (From SA I think)

na ifagilia sana UDSM, legislators wengi wa Kenya wamepitia hapo, na wanasheria wanaotokea huko wanafahamika kwa kazi, we give props where due.
 
na ifagilia sana UDSM, legislators wengi wa Kenya wamepitia hapo, na wanasheria wanaotokea huko wanafahamika kwa kazi, we give props where due.
Wewe shemeji yetu ni moderate. Afadhali nimepata angalau mmoja wa kutetea UDSM ( CC Gaijin and EMT )
 
Last edited by a moderator:
Wewe shemeji yetu ni moderate. Afadhali nimepata angalau mmoja wa kutetea UDSM ( CC Gaijin and EMT )

It looks like utampata mmoja tuu unless ufanye kweli kwa mujibu wa signature yangu. lol.
 
It looks like utampata mmoja tuu unless ufanye kweli kwa mujibu wa signature yangu. lol.
Khaaa! nilidhani na wewe utakuja kuitetea University yetu?
 
Khaaa! nilidhani na wewe utakuja kuitetea University yetu?

Sio hivi hivi tuu. Nakumbuka enzi hizo Mzumbe wakati huo hata bado haijawa university ilikuwa inapiga bao UDSM mitaani.

Aliyepata Advanced Diploma ya Mzumbe alikuwa kwenye nafasi ya kupata kazi kuliko aliyepata degree UDSM kwenye course hiyo hiyo.

Unlike Mzumbe, UDSM walikuwa wanafundisha theories zaidi, but not how to put those theories into practice. Nakumbuka wengi walikuwa wanalalamikia sana hii kitu.

Watu walikuwa wakimaliza Mzumbe wanaanza kazi bila hata further training. It was interesting aliyemaliza Mzumbe anapangiwa kituo kimoja cha kazi na aliyemaliza UDSM. Mara nyingi the latter didn't know how to put his/her theories into practice.

Sijui kwa sasa hali ikoje, but I hope watakuwa wame-improve kwa kujaribu ku-integrate practice into what what they teach.
 
Katika hali ya kawaida Universities are research oriented wakati colleges ziko job market oriented. Kama wanafunzi hawajui wanacho kitafuta wakati wanajiunga basi ndio hayo matatizo hutokea. Mimi nilihakikisha kua researches zangu zote zinahusiana na kazi niliotaka kuifanya hivo nilijijengea knowledge kubwa katika kile ambacho nimekusudia. When I came out of Uni it was easier for me to get a job. you know what I mean? :-*
 
Hapa ndo Busta Rhymes anakwambia "let me check your criteria"...
Kuna za 2013 ambazo Tanzania haina hata Unversity moja in the top 100!
I believe the ability to market your university online ilihusika sana hapa...
 
Hapa ndo Busta Rhymes anakwambia "let me check your criteria"...

Ni hapo pia Young T anakwambia Let me check my fresh...

It's Mwali, ya all know the name

She is so fly, and she needs a plane

Now, Mwali don't break my freaking neck.

 
Last edited by a moderator:

Ni kweli universities are research oriented lakini pia they need to prepare their students to enter the job market. They need to design their courses in such a way to reflect the need of the job market. Not all university students want to be researchers.

Inawezekana kabisa kuwa wanafunzi wengi hawajui wanachokitafuta. Nilipojaza form ya kuomba kuijiunga na UDSM, nilitakiwa nijaze course tatu, ili nikikosa ya kwanza, wanipe ya pili na nikikosa ya pili wanipe ya tatu.

Lakini nilijaza course moja tuu niliyokuwa naitaka, though wengi walinikosoa kuwa I was not serious. Sasa kama wewe ulijaza course tatu na imebakia nafasi moja tuu unafikiri watampa nani kati ya wewe na mimi? Wewe si uko tayari kusoma course number two or three? I only want course number one. Guess what admission officer will do. lol

Pia muhimu kukumbuka kuwa asilimia kubwa ya wanaojinga na vyuo vikuu kwa shahada ya kwanza hawajawi kufanya kazi. Kwa hiyo, wengi hawataweza kuhusisha course na kazi, though some may have a dream to work in a particular industry.

Kwa kuongezea unaweza kumkumta mtu is so passionate about studying and ultimately working in a particular industry, lakini kutokana na hiyo industry kutokuwa na job opportunities anaamua kusomea course nyingine ambayo itampa kazi kwa haraka.

Matokeo yake tunaishia kuwa na wataalam ambayo hawapo passionate with what they do.
 
Hilo tatizo lipo nchi zote (wanafunzi kuingia chuoni bila kujua watafanya nini later au what skills they need for their dream job). Lazima UDSM waweke taratibu za kuwasaidia vijana kuchagua wisely na kujenga that passion with project based exams ambazo zinamwezesha mwanafunzi kua na practical knowledge mapema, kabla hata hajatoka chuoni.
 
Reactions: EMT
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…