Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama anaipenda sana Tanzania kwanini asiende tu uhamiaji Tanzania na akaombe uraia kabisa na asiendelee kutuchosha kwa kujifanya anatupenda sana watanzania na Tanzania yetu?
Anashangaza sana mtoa madaTanzania ikicheza dhidi ya Taifa lingine atasimama na Tanzania, ikicheza dhidi ya Congo lazima asimame kwake.. Ni simple logic tu
hivi kuna kiswahili cha neno mahara kama damn fool mmoja wewe ulivyoandika hapa?Kwa hiyo aache nchi yake akasapoti nchi nyingine? Ili iweje? Mtoa mada atakuwa na shida mahara fulani. Mayele ameishi Tanzania lazima aonyeshe upendo pindi Tanzania inapocheza na timu nyingine, ila linapokuja suala la taifa au club yake lazima kipaumbele iwe taifa na club yake.
kuliko wewe rais wa wendawazimu jamvini hapa?Una tatizo la akili mkuu. Shida iko wapi?
kama imekusaidia kujiskia vema hongera kwako. Ila epuka kuanzisha nyuzi za kiwaki.kuliko wewe rais wa wendawazimu jamvini hapa?
sawa bwabwakama imekusaidia kujiskia vema hongera kwako. Ila epuka kuanzisha nyuzi za kiwaki.
Huna tusi kubwa zaidi ya hilo? i bet huna matusi 20 tofauti, yaandike yote hapa kama unayosawa bwabwa
idiotHuna tusi kubwa zaidi ya hilo? i bet huna matusi 20 tofauti, yaandike yote hapa kama unayo
Wewe umesoma mtaaala wa necta kiingereza ndio hutaweza kabisa, tukana kwa kiingereza maneno 20 nioneidiot
NutWewe umesoma mtaaala wa necta kiingereza ndio hutaweza kabisa, tukana kwa kiingereza maneno 20 nione
We ndezi haya nakuacha..kutukana kwenyewe hujui
CDF kasema muondoke, mnachukua ajira serikalini na mnashika nyadhifa za juu za uongoziSasa kama anaipenda sana Tanzania kwanini asiende tu uhamiaji Tanzania na akaombe uraia kabisa na asiendelee kutuchosha kwa kujifanya anatupenda sana watanzania na Tanzania yetu?