chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Burundi na Nkurunziza ni marafiki zetu na ambao tangu enzi ya JK tumehakikisha Burundi imekuwa salama.
Juhudi za kuifanya Burundi kuwa salama zilimfanya PK asimpende JK, na Burundi imekuwa nasi bega kwa bega. Wakati huo huo PK akiwa na chuki kubwa kwa Nkurunzinza
Ilipokuja awamu mpya, urafiki na PK ulinoga, nadhani kama Burundi nilikuwa sidelined.
Najiuliza, kama kiranja mkuu wa ukanda huu,Tanzania haikujua wala kunusa matatizo ya kiafya ya familia namba moja na kutoa ushauri wa haraka? Hii ingeimarisha influence ya Tanzania na ingekuwa prestige.
Je hata sasa tunashindwa kuwachukua wanafamilia au hata huyo Rais mteule kwa matibabu? Tungemtibu huyu lazima angetuheshimu kidiplomasia mpaka anaachia ngazi.
Pia mawaziri,wanajeshi, tuwatibu pia
Tunashindwa ku-dispatch kikosi cha madaktari bingwa wakakae hapo Bujumbura wawatibu watu hao?
Hii vacuum ya utawala iliyoko Burundi tunaidhibiti vipi kabla haijapata wa kujaza vacuum hiyo?
Tuione Tanzania katika ubora wake kwa issue hizo kabla PKagame hajafanya yake kwa kubinua meza
Juhudi za kuifanya Burundi kuwa salama zilimfanya PK asimpende JK, na Burundi imekuwa nasi bega kwa bega. Wakati huo huo PK akiwa na chuki kubwa kwa Nkurunzinza
Ilipokuja awamu mpya, urafiki na PK ulinoga, nadhani kama Burundi nilikuwa sidelined.
Najiuliza, kama kiranja mkuu wa ukanda huu,Tanzania haikujua wala kunusa matatizo ya kiafya ya familia namba moja na kutoa ushauri wa haraka? Hii ingeimarisha influence ya Tanzania na ingekuwa prestige.
Je hata sasa tunashindwa kuwachukua wanafamilia au hata huyo Rais mteule kwa matibabu? Tungemtibu huyu lazima angetuheshimu kidiplomasia mpaka anaachia ngazi.
Pia mawaziri,wanajeshi, tuwatibu pia
Tunashindwa ku-dispatch kikosi cha madaktari bingwa wakakae hapo Bujumbura wawatibu watu hao?
Hii vacuum ya utawala iliyoko Burundi tunaidhibiti vipi kabla haijapata wa kujaza vacuum hiyo?
Tuione Tanzania katika ubora wake kwa issue hizo kabla PKagame hajafanya yake kwa kubinua meza