Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
Ni baada ya jina la balozi huyo kuwa na maana mbaya kwa lugha ya kiswahili nchini Tanzania. Kumbe jina linaweza kukunyima ulaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Magufuli aliwahi kumkataa Takauchi Kumamoto 😝😝😝Ni baada ya jina la balozi huyo kuwa na maana mbaya kwa lugha ya kiswahili nchini Tanzania. Kumbe jina linaweza kukunyima ulaji.
View attachment 2228575
Jaribu kugugu hilo jina uone sio unabisha tu kama mshipaPaukwa pakawa
Nakumbuka ilikua tarehe 21 November 2016, Takauchi Kumamoto na mke wake Kunyamavi Kayashike alikataliwa kuwa balozi wa Japan nchini TanzaniaNa Magufuli aliwahi kumkataa Takauchi Kumamoto 😝😝😝
Chief embu niache mimi 😝😝Nakumbuka ilikua tarehe 21 November 2016, Takauchi Kumamoto na mke wake Kunyamavi Kayashike alikataliwa kuwa balozi wa Japan nchini Tanzania
Leta hayo majina tujue kama hakuna uonevuKuna Mkufunzi mkoja Afisa wa Jeshi kutoka Zambia akiwa anafundisha Monduli alimkataa Cadet mmoja wa Tanzania kwa majina yake, jamaa ilibidi abadili majina ndio asajiliwe.
.Ni baada ya jina la balozi huyo kuwa na maana mbaya kwa lugha ya kiswahili nchini Tanzania. Kumbe jina linaweza kukunyima ulaji.
View attachment 2228575
Chief Senge sec ipo Singida[emoji1]Ni baada ya jina la balozi huyo kuwa na maana mbaya kwa lugha ya kiswahili nchini Tanzania. Kumbe jina linaweza kukunyima ulaji.
View attachment 2228575
Bado anaaga,wiki iliyopita alikuwa dodoma kumuaga spika,siki hii nadhan qtaenda chattle kwa mke wa mwendazake!!Nimeona niulize hukuhuku kuliko kuanzisha uzi kwa jambo hili dogo; Ni hivi, nauliza, Polepole aliishaenda kuripoti katika kituo chake cha kazi? Au yupo wapi kwa sasa?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Unaijua "viieiti" wewe?maskini Musenge Mukuma akakosa kutembelea liV8 la polepole