Tanzania iliwahi kumkataa Balozi wa Zambia nchini

Kuna Mkufunzi mkoja Afisa wa Jeshi kutoka Zambia akiwa anafundisha Monduli alimkataa Cadet mmoja wa Tanzania kwa majina yake, jamaa ilibidi abadili majina ndio asajiliwe.
 
Kuna Mkufunzi mkoja Afisa wa Jeshi kutoka Zambia akiwa anafundisha Monduli alimkataa Cadet mmoja wa Tanzania kwa majina yake, jamaa ilibidi abadili majina ndio asajiliwe.
Leta hayo majina tujue kama hakuna uonevu
 
Nimeona niulize hukuhuku kuliko kuanzisha uzi kwa jambo hili dogo; Ni hivi, nauliza, Polepole aliishaenda kuripoti katika kituo chake cha kazi? Au yupo wapi kwa sasa?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Nimeona niulize hukuhuku kuliko kuanzisha uzi kwa jambo hili dogo; Ni hivi, nauliza, Polepole aliishaenda kuripoti katika kituo chake cha kazi? Au yupo wapi kwa sasa?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Bado anaaga,wiki iliyopita alikuwa dodoma kumuaga spika,siki hii nadhan qtaenda chattle kwa mke wa mwendazake!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…