Tanzania imeingia makubaliano ya kuiuzia Zambia Mahindi Tani 650,000

Tanzania imeingia makubaliano ya kuiuzia Zambia Mahindi Tani 650,000

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Andiko la Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo:
Kutokana na ukame unaoikumba nchi ya Zambia, nchi hiyo imeingia makubaliano na Tanzania kununua tani 650,000 za mahindi kwa ajili ya kuwasaidia wananchi milioni saba wa taifa hilo. Mkataba huo utatekelezwa kwa kipindi cha miezi nane na utaiingizia Tanzania dola milioni 250 sawa na Sh650 bilioni.

Mahindi hayo yatakayosafirishwa kwenda Zambia yatatolewa katika maghala ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) ambapo kwa kituo cha Songwe mahindi tani 55,000, Makambako tani 75,000, Sumbawanga tani 250,000 na Songea tani 270,000.

Mkataba huo umesainiwa na Mkurugenzi Mkuu wa NFRA Dk Andrew Komba pamoja na Mratibu wa Maafa kitaifa nchini Zambia Dk Gabriel Pollen, wakishuhudiwa na mimi kama Waziri wa Kilimo, Waziri wa Fedha Dk Mwigulu Nchemba na Waziri wa Kilimo Zambia Reuben Phiri.
 
Mimi Kila siku nasema Samia ni kiongozi wa mfano, kumuamini Bashe kwenye sekta ya kilimo alilamba dume. Jamaa upo very good upstairs. Sasa taifa linaenda kuingiza 250 USD pesa ambayo tusingeipata bila kuwa na sera nzuri za kilimo.
 
Great deal 👍, napendekeza hii isiwe mara moja kwa sababu ya ukame uliowakuta, tuzidi kutafuta masoko zaidi na ikiwezekana ihusishe moja kwa moja wafanya biashara siku za usoni ili kumotivate Watanzania walio wawekezaji na kuinua Uchumi wa kisekta na uchumi wa mtu mmoja mmoja ikijumuisha wakulima, madalali, wafanya biashara, wasafirishaji, wafungaji (packagers).

Na hii isiwe kwenye kilimo tu maana fursa kwa nchi yetu ni nyingi mno, nashauuri waziri wa fedha alitazame kwa upana zaidi hususani katika maeneo mtambuka kama tekinolojia, kilimo, Elimu, Nishati nk ndani yake kuna biashara nyingi.
 
Andiko la Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo:
Kutokana na ukame unaoikumba nchi ya Zambia, nchi hiyo imeingia makubaliano na Tanzania kununua tani 650,000 za mahindi kwa ajili ya kuwasaidia wananchi milioni saba wa taifa hilo. Mkataba huo utatekelezwa kwa kipindi cha miezi nane na utaiingizia Tanzania dola milioni 250 sawa na Sh650 bilioni.

Mahindi hayo yatakayosafirishwa kwenda Zambia yatatolewa katika maghala ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) ambapo kwa kituo cha Songwe mahindi tani 55,000, Makambako tani 75,000, Sumbawanga tani 250,000 na Songea tani 270,000.

Mkataba huo umesainiwa na Mkurugenzi Mkuu wa NFRA Dk Andrew Komba pamoja na Mratibu wa Maafa kitaifa nchini Zambia Dk Gabriel Pollen, wakishuhudiwa na mimi kama Waziri wa Kilimo, Waziri wa Fedha Dk Mwigulu Nchemba na Waziri wa Kilimo Zambia Reuben Phiri.

Ni Jambo jema lakini usalama wa chakula nchini uzingatiwe tusije uza badae tukaomba msaada......
 
Andiko la Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo:
Kutokana na ukame unaoikumba nchi ya Zambia, nchi hiyo imeingia makubaliano na Tanzania kununua tani 650,000 za mahindi kwa ajili ya kuwasaidia wananchi milioni saba wa taifa hilo. Mkataba huo utatekelezwa kwa kipindi cha miezi nane na utaiingizia Tanzania dola milioni 250 sawa na Sh650 bilioni.

Mahindi hayo yatakayosafirishwa kwenda Zambia yatatolewa katika maghala ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) ambapo kwa kituo cha Songwe mahindi tani 55,000, Makambako tani 75,000, Sumbawanga tani 250,000 na Songea tani 270,000.

Mkataba huo umesainiwa na Mkurugenzi Mkuu wa NFRA Dk Andrew Komba pamoja na Mratibu wa Maafa kitaifa nchini Zambia Dk Gabriel Pollen, wakishuhudiwa na mimi kama Waziri wa Kilimo, Waziri wa Fedha Dk Mwigulu Nchemba na Waziri wa Kilimo Zambia Reuben Phiri.
Mods ungamisha huu Uzi hapa Zambia Kuagiza Mahindi Metric Tani 650,000 kutoka Tanzania.
 
Hizi Nchi zetu bana.badala uwekeze kwenye viwanda vya kuchakata haya mazao na kuuza unga Kwa wazambia Huku ukiwa umetengeneza ajira Kwa Nchi Yako lakini Kuna wapuuzi wanashangilia kuuza mahindi Kwa Zambia.Hiiiii bhaghosha.hii Nchi tumepigwa mchana kweupe chini ya mama kipenzi cha mafisadi
 
Andiko la Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo:
Kutokana na ukame unaoikumba nchi ya Zambia, nchi hiyo imeingia makubaliano na Tanzania kununua tani 650,000 za mahindi kwa ajili ya kuwasaidia wananchi milioni saba wa taifa hilo. Mkataba huo utatekelezwa kwa kipindi cha miezi nane na utaiingizia Tanzania dola milioni 250 sawa na Sh650 bilioni.

Mahindi hayo yatakayosafirishwa kwenda Zambia yatatolewa katika maghala ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) ambapo kwa kituo cha Songwe mahindi tani 55,000, Makambako tani 75,000, Sumbawanga tani 250,000 na Songea tani 270,000.

Mkataba huo umesainiwa na Mkurugenzi Mkuu wa NFRA Dk Andrew Komba pamoja na Mratibu wa Maafa kitaifa nchini Zambia Dk Gabriel Pollen, wakishuhudiwa na mimi kama Waziri wa Kilimo, Waziri wa Fedha Dk Mwigulu Nchemba na Waziri wa Kilimo Zambia Reuben Phiri.
Tunategemea mahindi yawe bora na tazara wapewe udafirishaji wa mahindi hayo malori yatumike pale lazima. Hii itapunguza gharama ya usafiri na bei kwa walaji.
 
Life in
Hizi Nchi zetu bana.badala uwekeze kwenye viwanda vya kuchakata haya mazao na kuuza unga Kwa wazambia Huku ukiwa umetengeneza ajira Kwa Nchi Yako lakini Kuna wapuuzi wanashangilia kuuza mahindi Kwa Zambia.Hiiiii bhaghosha.hii Nchi tumepigwa mchana kweupe chini ya mama kipenzi cha mafisadi
Badirika chief Kila kitu mnapinga Sasa hata wewe si uwekeze kwenye kiwanda Cha kuchakata, machine za kusaga na kukoboa mbona siyo big deal mkuu. Tumpongeze waziri wa kilimo na serikali kwa ujumla wake.
 
Andiko la Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo:
Kutokana na ukame unaoikumba nchi ya Zambia, nchi hiyo imeingia makubaliano na Tanzania kununua tani 650,000 za mahindi kwa ajili ya kuwasaidia wananchi milioni saba wa taifa hilo. Mkataba huo utatekelezwa kwa kipindi cha miezi nane na utaiingizia Tanzania dola milioni 250 sawa na Sh650 bilioni.

Mahindi hayo yatakayosafirishwa kwenda Zambia yatatolewa katika maghala ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) ambapo kwa kituo cha Songwe mahindi tani 55,000, Makambako tani 75,000, Sumbawanga tani 250,000 na Songea tani 270,000.

Mkataba huo umesainiwa na Mkurugenzi Mkuu wa NFRA Dk Andrew Komba pamoja na Mratibu wa Maafa kitaifa nchini Zambia Dk Gabriel Pollen, wakishuhudiwa na mimi kama Waziri wa Kilimo, Waziri wa Fedha Dk Mwigulu Nchemba na Waziri wa Kilimo Zambia Reuben Phiri.
Tumeivisha mahindi yana 45000 junia
 
Life in

Badirika chief Kila kitu mnapinga Sasa hata wewe si uwekeze kwenye kiwanda Cha kuchakata, machine za kusaga na kukoboa mbona siyo big deal mkuu. Tumpongeze waziri wa kilimo na serikali kwa ujumla wake.
Unasema siyo big deal kuanzisha viwanda vya kuchakata?ajira ngapi Nchi itapoteza kuanzia wafuga kuku, viwanda vya kutengeneza mifuko,mafundi wa hizo mashine n.k pashe anasitahili kufungwa kabisa Kwa kuhujumu uchumi kwa kupeleka ajira zambia
 
Back
Top Bottom