Tanzania imepiga hatua katika utoaji wa Elimu ya Kidigitali?

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124

Ni mara ngapi umewahi kumsaidia mtu kufanya kitu fulani katika Simu yake?

Japokuwa Wananchi wanamiliki Vifaa vya Kidigitali, bado wengi wanashindwa kunufaika kikamilifu kutokana na kukosa Ujuzi sahihi

Unadhani tumepiga hatua katika utoaji wa Elimu ya Kidigitali?


Kuboresha Upatikanaji wa Intaneti ndio njia pekee watu wengi wanaweza kunufaika nayo

Ni muhimu Huduma ya Mtandao ipatikane wakati wote, na kwa gharama nafuu

Kwa upande wako, kikwazo kikubwa katika kufurahia Intaneti ni nini?
 
Unazungumza ukiwa ofisini na bwana nape mkipata chai na vitafunwa vya kutosha au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…