Elections 2010 Tanzania imewekwa kwenye Black List ya Madini na USA

Elections 2010 Tanzania imewekwa kwenye Black List ya Madini na USA

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Kuna viongozi walikuwepo Washington DC kutoka serikali ya JK kuomba Tanzania itolewe kwenye Black List ya madini ya USA. Congress iliweka hii list kwasababu madini mengi ya Diamond kutoka Congo yalikuwa yanapitia Tanzania kinyemela. Kama una Diamond zimetoka Tanzania sasa huwezi kuuza kwa kampuni ya marekani kihalali na bei ya chinichini ni ndogo sana. Mambo haya yanatokana na ufanisi mdogo wa serikali
 
Hata tuwekwe kwenye listi nyeusi wao tu.....haya madin hayana tija kwa watanzania.....labda kwa viongoz wa WATANZANIA
 
Na bado itaweka mpaka kwenye red list kutokana na unafiki wao...............nchi hii si wanafiki tu.
 
Sorry folks, this was a wrong entry!!!
 
Tunafaidika nazo nn wakati hata udongo wenyewe na madini yake wanaondoka nazo!kwangu mimi hata wangewekewa red+blue+k+!hainisaidii
 
Back
Top Bottom