Tanzania imo

Tanzania imo

Averos

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2010
Posts
993
Reaction score
703
Top 10
Screenshot_20221212-175117_1.jpg
 
Ukitaka kugundua hilo wala hupaswi kutumia nguvu na akili kubwa, angalia hata wale wanajifanya sijui kumwagilia moyo kumbe nyuso zao zinaongea huzuni tele
 
Haya nayo huwa mnayaamini?

Kwamba sisi tuko na huzuni kuwazid hadi Ukraine wanaomwagiwa makombora kila siku? Hadi Somalia, Afghanistan?
 
Haya nayo huwa mnayaamini?

Kwamba sisi tuko na huzuni kuwazid hadi Ukraine wanaomwagiwa makombora kila siku? Hadi Somalia, Afghanistan?
Ukraine wana vita, Somalia hali halisi inajulikana Tanzania je? Wewe huamini nini?
 
Back
Top Bottom