Kennedy JF-Expert Member Joined Dec 28, 2011 Posts 54,894 Reaction score 64,043 Dec 13, 2022 #2 Haa Haa Haya Ndiyo Maeneo Yetu
Program Manager JF-Expert Member Joined Aug 6, 2018 Posts 2,763 Reaction score 3,955 Dec 13, 2022 #3 Ukitaka kugundua hilo wala hupaswi kutumia nguvu na akili kubwa, angalia hata wale wanajifanya sijui kumwagilia moyo kumbe nyuso zao zinaongea huzuni tele
Ukitaka kugundua hilo wala hupaswi kutumia nguvu na akili kubwa, angalia hata wale wanajifanya sijui kumwagilia moyo kumbe nyuso zao zinaongea huzuni tele
SMART GHOST JF-Expert Member Joined Feb 3, 2020 Posts 2,657 Reaction score 10,356 Dec 13, 2022 #4 Haya nayo huwa mnayaamini? Kwamba sisi tuko na huzuni kuwazid hadi Ukraine wanaomwagiwa makombora kila siku? Hadi Somalia, Afghanistan?
Haya nayo huwa mnayaamini? Kwamba sisi tuko na huzuni kuwazid hadi Ukraine wanaomwagiwa makombora kila siku? Hadi Somalia, Afghanistan?
NAGAMAHONGA JF-Expert Member Joined Dec 11, 2012 Posts 11,131 Reaction score 9,301 Dec 15, 2022 #5 Averos said: Top 10View attachment 2444137 Click to expand... Haya ndo maneno ya kweli dio kutuambia eti mama anapaa.Mi nkadhania kawa mwewe.
Averos said: Top 10View attachment 2444137 Click to expand... Haya ndo maneno ya kweli dio kutuambia eti mama anapaa.Mi nkadhania kawa mwewe.
naiman64 JF-Expert Member Joined Nov 22, 2013 Posts 6,961 Reaction score 5,460 Dec 24, 2022 #6 SMART GHOST said: Haya nayo huwa mnayaamini? Kwamba sisi tuko na huzuni kuwazid hadi Ukraine wanaomwagiwa makombora kila siku? Hadi Somalia, Afghanistan? Click to expand... Ukraine wana vita, Somalia hali halisi inajulikana Tanzania je? Wewe huamini nini?
SMART GHOST said: Haya nayo huwa mnayaamini? Kwamba sisi tuko na huzuni kuwazid hadi Ukraine wanaomwagiwa makombora kila siku? Hadi Somalia, Afghanistan? Click to expand... Ukraine wana vita, Somalia hali halisi inajulikana Tanzania je? Wewe huamini nini?